ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,355
- 4,260
Habari zenu wadau,
Leo tupeane mbinu mbalimbali unazotumia kukabiliana na mdudu msumbufu mbu.
Wengi wetu hutumia chandarua lakini zinaleta bad looking ya chumba chako. Pia si muda wote utakua kitandani ndio ujikinge na mbu.
Ukitumia spray nayo maharufu makali, ukifunga dirisha especially hizi aluminium windows wanapenya kama wote.
Basi tujuzane njia nzuri unayotumia ili nasi itusaidie.
Wasalaam.
Leo tupeane mbinu mbalimbali unazotumia kukabiliana na mdudu msumbufu mbu.
Wengi wetu hutumia chandarua lakini zinaleta bad looking ya chumba chako. Pia si muda wote utakua kitandani ndio ujikinge na mbu.
Ukitumia spray nayo maharufu makali, ukifunga dirisha especially hizi aluminium windows wanapenya kama wote.
Basi tujuzane njia nzuri unayotumia ili nasi itusaidie.
Wasalaam.