sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
sechi google utakuta picha zakeUkiupata kwa picha utupe picha tuufahamu nimevurugwa na jina kivumbasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sechi google utakuta picha zakeUkiupata kwa picha utupe picha tuufahamu nimevurugwa na jina kivumbasi
Nawaachia kidogo wakishiba naanza kuwaua, wanakua hawawezi kukimbia tena! Kwahio kesho huwezi kukuta mbu tenaHabari zenu wadau,
Leo tupeane mbinu mbalimbali unazotumia kukabiliana na mdudu msumbufu mbu.
Wengi wetu hutumia chandarua lakini zinaleta bad looking ya chumba chako. Pia si muda wote utakua kitandani ndio ujikinge na mbu.
Ukitumia spray nayo maharufu makali, ukifunga dirisha especially hizi aluminium windows wanapenya kama wote.
Basi tujuzane njia nzuri unayotumia ili nasi itusaidie.
Wasalaam.
Ungekuja na pacha yake mkuuPanda kivumbasi (holy basil) eneo ulilopo, mbu hawatazaliana hovyo, pia uwe unachoma majani yake kidogo chumbani, moshi ule na mbu havipatani.
Pia ni mmea mzuri wa kufukuza roho chafu na mambo ya giza, wahindi wanauheshimu sana huu mmea, nyumba nyingi lazima utaukuta hata ndani
Na anaishi ghorofa ya ngapi?Upo mkoa gani?
Na huwa tunaweka madirishani pia ili kuzuia mbu kuingia ndani, kutoa uchafu ulioingia kwenye jicho kwa kuweka mbegu zake ambazo huenda kukusanya uchafu wote na kuutoa pamoja na tongotongoAisee kumbe utajiri umejificha hapo tu, kwetu yapo na tunayaita hivyo MALUMBA…. mara nyingi tulipenda kutumia mbegu zake ikiwa mtu anaumwa macho.
Hebu niambie, kuhusu utajiri nifanyeje?[emoji1614][emoji39]