Yapoje hayo majanipanda kivumbasi (holy basil) eneo ulilopo, mbu hawatazaliana hovyo, pia uwe unachoma majani yake kidogo chumbani, moshi ule na mbu havipatani.
pia ni mmea mzuri wa kufukuza roho chafu na mambo ya giza, wahindi wanauheshimu sana huu mmea, nyumba nyingi lazima utaukuta hata ndani
Exactlyπpanda kivumbasi (holy basil) eneo ulilopo, mbu hawatazaliana hovyo, pia uwe unachoma majani yake kidogo chumbani, moshi ule na mbu havipatani.
pia ni mmea mzuri wa kufukuza roho chafu na mambo ya giza, wahindi wanauheshimu sana huu mmea, nyumba nyingi lazima utaukuta hata ndani
Yapoje hayo majani
Mbu wanaingiaje ndani? Wakati gani? Ilihali panafungwa muda wote? Tuanze hapa.
Kama vile dawa fulani hivi ya vidonda vya tumbo, inafanana kweli
Kuna dawa pia inachomwa kwenye umeme inasaidia kufukuza mbu.Majani ya mchai chai yale harufu yake mbu hasogei, kuna mafuta flani ya body massage yanauzwa SH amon yananuakia mchaichai hayo ukiwa umepumzika unapaka kidogo tuu mbu wanakimbia wote. Ukifika ulizia mafuta ya massage watakuonyesha ya aina tofauti hayo ya mchaichai yamechorwa kabisa hilo jani.
Macho yakiwaa yanaumwaje kakaaAisee kumbe utajiri umejificha hapo tu, kwetu yapo na tunayaita hivyo MALUMBAβ¦. mara nyingi tulipenda kutumia mbegu zake ikiwa mtu anaumwa macho.
Hebu niambie, kuhusu utajiri nifanyeje?[emoji1614][emoji39]
πππππππππππππKUNYWA SANITIZER.(konyagi, k-vant, value, na PIWA.)
Macho yakiwaa yanaumwaje kakaa
Et eeeKama vile dawa fulani hivi ya vidonda vya tumbo, inafanana kweli
DsmUpo mkoa gani?
Ukiupata kwa picha utupe picha tuufahamu nimevurugwa na jina kivumbasiPanda kivumbasi (holy basil) eneo ulilopo, mbu hawatazaliana hovyo, pia uwe unachoma majani yake kidogo chumbani, moshi ule na mbu havipatani.
Pia ni mmea mzuri wa kufukuza roho chafu na mambo ya giza, wahindi wanauheshimu sana huu mmea, nyumba nyingi lazima utaukuta hata ndani