Mbinu za kukabiliana na mbu

Nawaachia kidogo wakishiba naanza kuwaua, wanakua hawawezi kukimbia tena! Kwahio kesho huwezi kukuta mbu tena
 
Ungekuja na pacha yake mkuu
 
1. Twanga vitunguu swaumu, then weka karibu yako au kwenye kona za room ile harufu watakimbia,
2. Kuna dawa zipo karakoram sokoni ( kule gorofani )
zinachomwa kwa umeme zinauzwa elfu 5.. ( haswa duka la madawa ya kilimo)
3. Kuna kiwanda cha kuuwa vilui lui via mbu, kipo kule kibaha wana dawa zao ni nzuri ina zinataka maturities ya kaya kuanzia 3 au 4. Zenyewe zinawekwa kwenye mazalia ya mbu na zinaua kweli....
 
Aisee kumbe utajiri umejificha hapo tu, kwetu yapo na tunayaita hivyo MALUMBA…. mara nyingi tulipenda kutumia mbegu zake ikiwa mtu anaumwa macho.

Hebu niambie, kuhusu utajiri nifanyeje?[emoji1614][emoji39]
Na huwa tunaweka madirishani pia ili kuzuia mbu kuingia ndani, kutoa uchafu ulioingia kwenye jicho kwa kuweka mbegu zake ambazo huenda kukusanya uchafu wote na kuutoa pamoja na tongotongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…