technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Nishakata tiketi yangu ya kwenda KIA December 21 na return 2 January1. Weka oda ya mwezi mzima na zaidi✅
2. Usikate kipindi cha sikukuu✅
3. Fuatilia meseji za promo ✅
hizi ili upate lazima uwe ushawai panda ndege ndo watakutumia
4. Uliza maagent✅
kua na namba za maagent tofauti tofauti kuna had tiket za 100,000/= ambazo uwezi kuzikuta mtandaoni
5. Cheki ndege zenye bei ndogo✅
Hapa mara nyingi kwa tz ni Precision Air, international ni Ethiopia
inaokoa sana pesaNishaka
Nishakata tiketi yangu ya kwenda KIA December 21 na return 2 January
Uko sawa hapo kwenye kukata mwezi mmoja kabla!!
Twendeni tukale mbuzi!!!
Huwezi pande kubwa Kila mahali.panda ndege kubwa hata uwezi kuhisi kama ina take off
Mi siongelei mara zote mkuu,Huwezi pande kubwa Kila mahali.
Mfano mzuri..
Bukoba
Dodoma
Kigoma
Klm
Tanzania ndege kubwa kiasi flani huanzia mwz to Dar au klm to Dar na sio mara zote.
Unapoongea jambo uzingatie mambo mengi utajirpusha na uropokaji
labda wengine mna shida. mara ya 1 napanda naona kawaida tu.Hahaha take off haizoeleki, inapepeta utumbo
Ni bongo tu usafiri wa ndege ndio anasa1. Weka oda ya mwezi mzima na zaidi✅
2. Usikate kipindi cha sikukuu✅
3. Fuatilia meseji za promo ✅
hizi ili upate lazima uwe ushawai panda ndege ndo watakutumia
4. Uliza maagent✅
kua na namba za maagent tofauti tofauti kuna had tiket za 100,000/= ambazo uwezi kuzikuta mtandaoni
5. Cheki ndege zenye bei ndogo✅
Hapa mara nyingi kwa tz ni Precision Air, international ni Ethiopia
kumbe mi siishi bongoNi bongo tu usafiri wa ndege ndio anasa
we hata iyo kweli hasa hivi viflight vidogo vya precision airlabda wengine mna shida. mara ya 1 napanda naona kawaida tu.
Tena kwa ku edit tu basi wanaweka code zao mbele wanaweka kiasi cha difference imeisha hiooooMa Agent wanatengeneza hela nzur san tikect kwenye mfumo anainua kwa 160k ww anakuja kukuzia 200k
Ninae mshakaji wng hana ata ofisi ila anapiga hela balaa ticket anakukatia kwa simu yake tu kwa siku anatengeneza ata 150k kama faida kwa vichwa vyake vichache tu
jro ndo wapTicket ya precion dar- jro tshngap?
sijawai ona ilioeditiwa labda kwakua nakata mtandaoniTena kwa ku edit tu basi wanaweka code zao mbele wanaweka kiasi cha difference imeisha hioooo
Kuwa agent unalipia??Ma Agent wanatengeneza hela nzur san tikect kwenye mfumo anainua kwa 160k ww anakuja kukuzia 200k
Ninae mshakaji wng hana ata ofisi ila anapiga hela balaa ticket anakukatia kwa simu yake tu kwa siku anatengeneza ata 150k kama faida kwa vichwa vyake vichache tu
Yaan we ukilipa ukaomba class flan system inaongeza gawio lao unspoken tkt poa kabisasijawai ona ilioeditiwa labda kwakua nakata mtandaoni
Yah unahitaji kuwa na sifaa kadhaa mkuu....na uwe na mzigoo kadhaa kwa accKuwa agent unalipia??
MpwaN umasikini tu wa dunia
M dada yangu Jan analipa tkt ya familia UK dar UK
June...
Akirudi analipa mapema tkt ya Dec anaingia 21 anaondoka 8 Jan 2025[kama atakuwa haibado maana hayamagorofa mmh na anavyopenda kuzururaa balaa]
Una hela unaboook mapema kabisaa
Upooo mpwaaaaa wacha tuwape some vijana kununuatkt siku ya safari umasikini tuMpwa