Mbinu za kupata tiketi za ndege kwa bei rahisi. Prove me wrong!

Mbinu za kupata tiketi za ndege kwa bei rahisi. Prove me wrong!

1. Weka oda ya mwezi mzima na zaidi✅

2. Usikate kipindi cha sikukuu✅

3. Fuatilia meseji za promo ✅
hizi ili upate lazima uwe ushawai panda ndege ndo watakutumia

4. Uliza maagent✅
kua na namba za maagent tofauti tofauti kuna had tiket za 100,000/= ambazo uwezi kuzikuta mtandaoni

5. Cheki ndege zenye bei ndogo✅
Hapa mara nyingi kwa tz ni Precision Air, international ni Ethiopia

Kila ktu kina faida na hasara
Ukikata ticketi ya promotion, usiposafiri hela yako yote imepotea.....
Ukikata ticket ya kawaida, usiposafiri tarehe husika; unaweza kuitumia tena kwa safari nyingine kwa kulipia kidogo tu
 
Kila ktu kina faida na hasara
Ukikata ticketi ya promotion, usiposafiri hela yako yote imepotea.....
Ukikata ticket ya kawaida, usiposafiri tarehe husika; unaweza kuitumia tena kwa safari nyingine kwa kulipia kidogo tu
we siyo kweli
Hela unayolipia usiposafiri si ndogo huwa inacheza kwene 70k had 90k
sasa hiyo ni hela ndogo kwako kwa mfano
 
Ndio uzuri ata ww ukishapewa unawa kumpa mshkaji wako system akawa nae anakata ticket mwenyew t bila ya shida yoyote na mara nyingi siku za skuku ndo kunakua na punguzo kubw san kwa ayo makampuni
sasa mbona tiket zinakuaga juu sana siku za sikukuu
 
we siyo kweli
Hela unayolipia usiposafiri si ndogo huwa inacheza kwene 70k had 90k
sasa hiyo ni hela ndogo kwako kwa mfano

Mimi ndio sababu husafiri kwa basi na sasa yapo ya usiku... burdani
Wewe kama hela zako ni za mawazo rudi huku kwenye mabasi usafiri kwa raha zako.
Unateseka na ndege badala ya kufurahia safari?
 
Mimi ndio sababu husafiri kwa basi na sasa yapo ya usiku... burdani
Wewe kama hela zako ni za mawazo rudi huku kwenye mabasi usafiri kwa raha zako.
Unateseka na ndege badala ya kufurahia safari?
kusafiri kwa basi ni umasiki yaan safari ya masaa mawili usafiri masaa kumi useme ni kitu cha kujivunia ?? Hapana kwakweli
 
kusafiri kwa basi ni umasiki yaan safari ya masaa mawili usafiri masaa kumi useme ni kitu cha kujivunia ?? Hapana kwakweli
hakuna mtu asiyependa kusafiri kwa ndege ILA ukishajikuta bei ikibadilika kwa shs 70,000 una lia lia jua hujafikia hatua ya kupande ndege/unalazimisha. Waliosoma mambo ya uchumi wafaham
Ni sawa na mtu kununua gari ya cc4200 wakati uwezo wake ni wa kuweka lita 20??? mafuta yakipanda tu shs 200 analia lia utafikiri alilazimisha kulinunua.....
 
hakuna mtu asiyependa kusafiri kwa ndege ILA ukishajikuta bei ikibadilika kwa shs 70,000 una lia lia jua hujafikia hatua ya kupande ndege/unalazimisha. Waliosoma mambo ya uchumi wafaham
Ni sawa na mtu kununua gari ya cc4200 wakati uwezo wake ni wa kuweka lita 20??? mafuta yakipanda tu shs 200 analia lia utafikiri alilazimisha kulinunua.....
Labda kweli ila usibane sana ishi mkuu!!
Kutembea masaa 12 sehemu ya masaa mawili si umasikini ni ufukara.

Hakikisha zile safari zisizo za emergency hasa za likizo au mwishon mwa mwaka unapanda flight ukizoea na maisha yatalevel kuwa level hiyo
 
Back
Top Bottom