Mbinu za kutokuchepuka kwa karne ya 21 - 22

Shukrani sana ,Mpare wa Makanya
 
Mfalme Daudi alimtambua Mungu vizuri lakini alichepuka sembuse Mimi.....kuchepuka hakuzuiliki mkuu

Huyo Mfalme Daudi unaweza usimkute peponi kama vile Musa alivyotoswa na Mungu kufika Kanaani. Usimuasi Mungu kwa sababu fulani alimuasi, atakayehukumiwa ni wewe na mimi, huyo hatakuwepo
 
Huyo Mfalme Daudi unaweza usimkute peponi kama vile Musa alivyotoswa na Mungu kufika Kanaani. Usimuasi Mungu kwa sababu fulani alimuasi, atakayehukumiwa ni wewe na mimi, huyo hatakuwepo
Sa mbona maandiko yanachanganya!???
Nasikia huko peponi hizo mambo ni za kumwaga, according to sheikh kipozeo eti ukifika peponi unapewa mizigo 40
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…