Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mmmh nnhh yes, ooh no i mean yes actually no!So nikikuoa wewe lazima utachepuka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh nnhh yes, ooh no i mean yes actually no!So nikikuoa wewe lazima utachepuka?
Sa mbona maandiko yanachanganya!???
Nasikia huko peponi hizo mambo ni za kumwaga, according to sheikh kipozeo eti ukifika peponi unapewa mizigo 40
Mmmh nnhh yes, ooh no i mean yes actually no!
Mpendwa kwani umeshawahi kuonja?Usiwe hivyo, Mungu hapendi, hata kama sitakuoa mimi lakini uzinzi ni moja ya dhambi mbaya na ya aibu
Mpendwa amini nakuambia, mwanamke mmoja anadumaza akili.Hakunaga Pepo ya hivyo Mkuu.
Kuwa na wanawake wengi ni dalili ya uroho, ulafi, na peponi hawaendi watu wa namna hiyo, wanaenda watakatifu
Mkubwa inaonekana wapare mna karama katika Uandishi huwa nafuatilia sana mada zako na nnajifunza mengiKaribu Makanya Mkuu
Wengi wa walio kwenye ndoa sio tu wanatoka bila sababu. Siku za mwanzo mwanzo ilikuwa akinuna hata kwa kosa lake,nilikuwa najishusha mimi ili tu nisichepuke. Nimeshawahi kuvumilia miezi miwili mke kanuna tu,anasubiri nijishushe,adhabu ya wanaume wengi ni kwenye hicho kidudu. Inafika mahala unaingia kulala,ni kama unaingia jehanum.Kwa nini lakini watu tunapenda utamu wa dhambi Mkuu
Kwahiyo tuendelee kuchepuka tu!?!Hakuna mkamilifu chini ya jua.
NDIYO MZEE BABAKwahiyo tuendelee kuchepuka tu!?!
Umeisoma biblia vizuri.? Suala la mapenzi linasumbua Sana ulimwenguHuyo Mfalme Daudi unaweza usimkute peponi kama vile Musa alivyotoswa na Mungu kufika Kanaani. Usimuasi Mungu kwa sababu fulani alimuasi, atakayehukumiwa ni wewe na mimi, huyo hatakuwepo
Free will[emoji2211]Ayubu 1:1
Katika nchi ya Usi paliishi mtu ambaye aliitwa Ayubu. Mtu huyu alikuwa hana hatia, naye alikuwa mkamilifu; alimcha Mungu na kuepukana na uovu.
Kama hakuna mkamilifu basi hakuna hukumu.
Sema watu hatutaki ukamilifu aliotupa Mungu kutokana na Free will aliyotupa