Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Is a gud ritual idea but Tabu yoote hii ni ya nini???Kuwa na notebook yako, kila unapoona unahitaji kuongea nenda kaandike kwenye hiyo notebook.......baada ya siku chache unachana hizo page unachoma
Nilidhani we wakiume, ila bado nipo sahihi kwa niliyoshauri.Mimi ke
Habari zenu Wana jukwaa,
Kama kichwa Cha Uzi kinavyosema naombeni mnisaidie mbinu za kua msiri.
Baadae ya kuwa mtu mzima kKuna namna ninawaona ndugu na watu wa karibu kama watu wenye choyo na wengi hawapendi mtu afanikiwe iwe ni ndoa kazi au biashara.
Sasa ninaomba mnipe mbinu gani nitumie ili maisha yangu yawe ya Siri nimeshahangaika sana Kuna vitu nisipowashirikisha Ina kua ni ugomvi hivyo inanilazimu niwaeleze mipango yangu yote hiki kitu sikipendi na hata nikiwama hawana msaada wowote ule.
Nifanyaje wasijue maisha yangu na ukizingatia ni watu wangu wa karibu
Natanguliza shukran.
Huwezi hata upewe mbinu gani maana tayari una uoga kwa kutowaambia mambo yako, unaogopa watakasirikaHabari zenu Wana jukwaa,
Kama kichwa Cha Uzi kinavyosema naombeni mnisaidie mbinu za kua msiri.
Baadae ya kuwa mtu mzima kKuna namna ninawaona ndugu na watu wa karibu kama watu wenye choyo na wengi hawapendi mtu afanikiwe iwe ni ndoa kazi au biashara.
Sasa ninaomba mnipe mbinu gani nitumie ili maisha yangu yawe ya Siri nimeshahangaika sana Kuna vitu nisipowashirikisha Ina kua ni ugomvi hivyo inanilazimu niwaeleze mipango yangu yote hiki kitu sikipendi na hata nikiwama hawana msaada wowote ule.
Nifanyaje wasijue maisha yangu na ukizingatia ni watu wangu wa karibu
Natanguliza shukran.
Utakua una majigambo na majivunoSio kucontrol tuu pia wanapenda kuonana mtu Hana kitu anateseka
Kwa nini mkuuUtakua una majigambo na majivuno
we bado ni mvulana ๐ ๐ ๐ ...siku ukiwa mwanaume utaweza tu kua msiri...kwa hiyo kukaa nao ndo inakulazimu mpk kiasi cha mshahara utajeSasa ni watu ninaoishi nao hata nikipata dili la kazi wanataka nijue ni wapi nafanyia hiyo kazi mpaka mshahara Mimi sipendi na siku nisipokua na ishu wanakaa mbali na Mimi hata mia yao siioni
Dah๐ญ
Hata akijichua anawaambia watu wa karibu? Kama hawaambii iweje hivi vitu vingine awaambie.Ukiwa unaenda kunyandua/kunyanduliwa huwa unawaambia pia?
Yes, kama unvyoweza kutunza hiyo Siri basi na SIRI zingine unaweza.