Mbinu za kuwa msiri

Mbinu za kuwa msiri

Ssa
Habari zenu Wana jukwaa,

Kama kichwa Cha Uzi kinavyosema naombeni mnisaidie mbinu za kua msiri.

Baadae ya kuwa mtu mzima kKuna namna ninawaona ndugu na watu wa karibu kama watu wenye choyo na wengi hawapendi mtu afanikiwe iwe ni ndoa kazi au biashara.

Sasa ninaomba mnipe mbinu gani nitumie ili maisha yangu yawe ya Siri nimeshahangaika sana Kuna vitu nisipowashirikisha Ina kua ni ugomvi hivyo inanilazimu niwaeleze mipango yangu yote hiki kitu sikipendi na hata nikiwama hawana msaada wowote ule.

Nifanyaje wasijue maisha yangu na ukizingatia ni watu wangu wa karibu

Natanguliza shukran.

Habari zenu Wana jukwaa,

Kama kichwa Cha Uzi kinavyosema naombeni mnisaidie mbinu za kua msiri.

Baadae ya kuwa mtu mzima kKuna namna ninawaona ndugu na watu wa karibu kama watu wenye choyo na wengi hawapendi mtu afanikiwe iwe ni ndoa kazi au biashara.

Sasa ninaomba mnipe mbinu gani nitumie ili maisha yangu yawe ya Siri nimeshahangaika sana Kuna vitu nisipowashirikisha Ina kua ni ugomvi hivyo inanilazimu niwaeleze mipango yangu yote hiki kitu sikipendi na hata nikiwama hawana msaada wowote ule.

Nifanyaje wasijue maisha yangu na ukizingatia ni watu wangu wa karibu

Natanguliza shukran.
Huwezi hata upewe mbinu gani maana tayari una uoga kwa kutowaambia mambo yako, unaogopa watakasirika
 
Wewe usiwaambie chochote , hapo unakuwa msiri tayari.
 
Jitahidi kuwa mtu wa kusikiliza zaidi kuliko kuongea (au kuongea-ongea); na kila jambo unalolisikia jipe muda wa kulitafakari kabla ya kulitolea majibu/ufafanuzi/maelezo.
 
Sasa ni watu ninaoishi nao hata nikipata dili la kazi wanataka nijue ni wapi nafanyia hiyo kazi mpaka mshahara Mimi sipendi na siku nisipokua na ishu wanakaa mbali na Mimi hata mia yao siioni
Dah😭
we bado ni mvulana 😀 😀 😀 ...siku ukiwa mwanaume utaweza tu kua msiri...kwa hiyo kukaa nao ndo inakulazimu mpk kiasi cha mshahara utaje
 
Ukiwa unaenda kunyandua/kunyanduliwa huwa unawaambia pia?

Yes, kama unvyoweza kutunza hiyo Siri basi na SIRI zingine unaweza.
Hata akijichua anawaambia watu wa karibu? Kama hawaambii iweje hivi vitu vingine awaambie.
 
Jifunze kuwa mwongo pindi mtu anapokukuuliza kitu fula huku ukimchora ili ujue nia yake hasa. Kumbuka uwongo mwingine haina athari hasi.
 
Back
Top Bottom