Mbinu zipi wamezitumia Wakinga kuwa wafalme Kariakoo?

Wakinga k/koo wako kwenye biashara ya nguo tu lkn tofauti na wachagga ambao wapo kwenye hardware,vipodoz,chuma,magorofa,phone accessories na used phone from Dubai na us hii ni biashara kubwa sana ss hivi k/koo,eletronics,viatu,vitenge,autospares,bodaboda,rangi hotels,bars, mighawa, vinywaji vya jumla wakinga ni wachache Sana ukilinganisha nao jamaa
 
Basi ntakuwa nimechanganya mafaili ila huyo mbunge wa kibaha mwenye ako catering nampigia saluti maana yupo geita analisha wafanyakazi wote wa ggm.
Koka ni habari nyingine mkuu kuanzia mahotel,real estate,icd,viwanda,logistics,tours,insurance,micro finance,kiwanda cha kutengeneza luku anachukua tenda za rea analisha trend ya mwendo Kasi,rufiji,bandari,majeshi na vodacom,sigara,banks na sehemu mbalimbali tz
 
Duh si mchezo
 
Umejitahidi kuorodhesha. Mwandiko wa bata. Hariri ili ueleweke vizuri.
 
Ongezea na hii
Barrick (Bulyanhulu na North Mara mines) analisha yeye mtoto wake ndo yule kelvin
 
Duh si mchezo
Kuna huyu jamaa yuko Gerezani Kariakoo karibu na Florida anaitwa Edward shayo owner wa east Africa brothers engineering Ltd tenda za kuinstall,kuservices,renovation ac,ventilation system crdb,nmb,tra,nssf,vodacom,tigo,songs,dhl pia waarabu wa missing elsweedy wamempa tenda kama agent wa vifaa vya umeme nchi nzima
 
Ma-mangi wajanja wajanja sana kwenye business.
Nlikuwa naongea na mfanyabiashara wa viatu narungombe huwa anachukua oda kutoka mikoani anasema oda anazopokea ni za hao hao wachagga kutoka mikoa tofauti mkuu hata soko la mitumba la karume chakushangaza wengi ni wachagga kuna jamaa anaitwa Osama ana shusha mpaka kotena ishirini kwa mwenzi au white anayeshusha kadenti mtumba na ndio maaana serekali huwa wanalipinga moto kila Mars kuwarudisha juma vita ni kubwa sana lkn watavuka tu
 
Na sio kimoja mkuu mfano kuna hichi cha watoto wa miaka ya 80s na 90s kinaongozwa na lampard electronics nacho ni hatari yuhu is just in his 30s lkn tiyari ana nyumba k/koo

Aisee safi. Nilikuwa inspired sana na The Boys Club ya kenya ya kina The Late Bob Collymore. Ni muhimu vijana kuwa waaminifu na kujiunga kwenye vikundi kama hivi. Nia ikiwa moja ni rahisi sana kufanikiwa. Na wabongo tusivyo waaminifu ni common kusikia mtu kakimbia na ada au membership fee [emoji23]
 
Hawa jamaa wana ushirikiano sana wako kama watoto wa mama mmoja mind set yao kuhusu maisha iko mbali sana miaka kadhaa ijayo kibosho itakuwa kama Beverly hill carlifonia wanajenga mijengo ya maana sana uko migombani
 
Hawa jamaa wana ushirikiano sana wako kama watoto wa mama mmoja mind set yao kuhusu maisha iko mbali sana miaka kadhaa ijayo kibosho itakuwa kama Beverly hill carlifonia wanajenga mijengo ya maana sana uko migombani
Kuna tajiri mmoja amchafuliwa sana hku jf anaitwa primi mushi huyu kwamba amechukua nyumba ya familia yakina bingwa kwa dhuluma kumbe jamaa ndio alikopa kwa mushi akashindwa kurudisha mkopo mushi kachukua nyumba 7 floors, nyamwezi na narungombe,wapemba wamemchukua hadi kwa Samia jamaa anaulizwa mushi anakudai kashindwa kujibu mushi kakabidhiwa nyumba rasmi na kachukua nyumba bingwa nyingine sinza mungabe mushi ni kati ya watu wenye nyumba nyingi hapa mjini ni mfanyabiashara mkubwa wa vitenge
 
Duuh...Mzee Una data za kutoshaa sio poa...ma tighter wengi wa Kariakoo unawafaaamu...

Mr Uk Electronics kwa kukusaidia pia ni ya Mzee Profil Massawe...anaandagaa Sana Mr Uk Marathon...plus biashara zake nyingi na magorofa hapo Kariakoo
Rising sure A.Kimbori..nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…