The Supreme Conqueror
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 458
- 1,280
Wakuu kumekua hali ya kawaida katika Nchi zote Duniani inapokaribia mwaka wa uchaguzi huwa na fukuto na joto la vyama na Wanasiasa kujiandaa kwajili ya uchaguzi husika hii tumekua tukisikia kila Kona ya Dunia Watu kushutumiana, kuchafuana, kuwekeana vikwazo na wakati mwingine hata kudhuriana ilimradi tu kuhakikisha kuwa anaweka Mambo sawa na njia inaliwa nyeupe kupata madaraka.
Uzi huu ni maalumu kwajili ya kuangazia matukio mbalimbali yanayotokea ikikaribia kipindi cha uchaguzi Mkuu hapa nitaanza kuorodhesha matukio mbalimbali niyakumbukayo yaliyojiri,nayaojiri yatakayojiri katika Nchi yetu kuelekea uchaguzi Mkuu wa Serikali za mitaa 2024 na ule wa 2025.
Uzi huu ni maalumu kwajili ya kuangazia matukio mbalimbali yanayotokea ikikaribia kipindi cha uchaguzi Mkuu hapa nitaanza kuorodhesha matukio mbalimbali niyakumbukayo yaliyojiri,nayaojiri yatakayojiri katika Nchi yetu kuelekea uchaguzi Mkuu wa Serikali za mitaa 2024 na ule wa 2025.