Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Maonesho ya aina yake ya mbio za magari yanatarajiwa kurindima wakati Rais Samia akiwasili jijini Arusha na hiyo itakuwa ni sehemu ya staili ya kipekee ambayo inapangwa kama sehemu ya mapokezi hayo.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Sherehe za Siku ya Wanawake zinatarajiwa kufanyika tarehe 8 siku ya Jumamosi ambapo Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndiye Mgeni rasmi wa shughuli hii.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Sherehe za Siku ya Wanawake zinatarajiwa kufanyika tarehe 8 siku ya Jumamosi ambapo Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndiye Mgeni rasmi wa shughuli hii.