Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mwenyewe unaishi kwa shemeji ako unatoe nauli wapi?Ahahahahaha! We mtume tu! Kama hauna nauli nimtumie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyewe unaishi kwa shemeji ako unatoe nauli wapi?Ahahahahaha! We mtume tu! Kama hauna nauli nimtumie.
stop negatism na negativity,be positive na positivism!。Hapo anapiga hela ya umma hizo ni mbinu za kuiba hakuna auding wala CAG atasogea
Arusha pamenoga, Bashite yupo vizuri kwenye mambo kama haya😅Matumizi makubwa na ya anasa ya kijinga kabisa, Arusha tuna RC mjinga haswa na fisadi
Hana shughuri ndogo huyo! Na nyingi, ni za kujitafutia UJIKO tu!Kiukweli Konda Boy na Arachuga,ni kipele kimepata mkunaji!。
P
Kiongozi anawakilisha picha ya wananchi wake walio wengiMatumizi makubwa na ya anasa ya kijinga kabisa, Arusha tuna RC mjinga haswa na fisadi
Wananchi wanapenda kula BataKiongozi anawakilisha picha ya wananchi wake walio wengi
Watanzabia walishawahi kuwa serious na Vitu serious???
Haya maisha yanabadilika sana, sikudhani hata siku Moja wewe Mzee unaweza ukawa chawa wa Gavoo kwa namna ya heshima uliyo itengeneza katka Tasnia ya habari hakika ilifaa iigwe na kila mtu. Unfortunately umegeuka unajua heshima yakostop negatism na negativity,be positive na positivism!。
P
Mleta mada umepokea Matuc mangapi ya wachoma mabango ya Samia hadi sasa?Maonesho ya aina yake ya mbio za magari yanatarajiwa kurindima wakati Rais Samia akiwasili jijini Arusha na hiyo itakuwa ni sehemu ya staili ya kipekee ambayo inapangwa kama sehemu ya mapokezi hayo.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Sherehe za Siku ya Wanawake zinatarajiwa kufanyika tarehe 8 siku ya Jumamosi ambapo Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndiye Mgeni rasmi wa shughuli hii.
Tangia napata akili ya kupiga kura , sikuwahi ona mgombea anaelazimisha kete za kukubalika na watu wake kama mgombea wa ccm wa mwaka huu,ni bahati mbaya no reforms no election aiseeMaonesho ya aina yake ya mbio za magari yanatarajiwa kurindima wakati Rais Samia akiwasili jijini Arusha na hiyo itakuwa ni sehemu ya staili ya kipekee ambayo inapangwa kama sehemu ya mapokezi hayo.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Sherehe za Siku ya Wanawake zinatarajiwa kufanyika tarehe 8 siku ya Jumamosi ambapo Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndiye Mgeni rasmi wa shughuli hii.
Kwenye vitu vya anasaMatumizi ya serikali ya Tanzania ni makubwa kuliko ya serikali ya Marekani
Tuna serikali ya hovyo snKwenye vitu vya anasa