Pre GE2025 Mbio za Magari kumpokea Rais Samia Arusha, Sherehe za Siku ya Wanawake

Pre GE2025 Mbio za Magari kumpokea Rais Samia Arusha, Sherehe za Siku ya Wanawake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huenda Mama atatumia maadhimisho hayo kumaliza Ugomvi wa RC na MP!
Sujui kama kuna mtu atakumbatiwa hapo!
 
stop negatism na negativity,be positive na positivism!。
P
Haya maisha yanabadilika sana, sikudhani hata siku Moja wewe Mzee unaweza ukawa chawa wa Gavoo kwa namna ya heshima uliyo itengeneza katka Tasnia ya habari hakika ilifaa iigwe na kila mtu. Unfortunately umegeuka unajua heshima yako
 
Maonesho ya aina yake ya mbio za magari yanatarajiwa kurindima wakati Rais Samia akiwasili jijini Arusha na hiyo itakuwa ni sehemu ya staili ya kipekee ambayo inapangwa kama sehemu ya mapokezi hayo.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Sherehe za Siku ya Wanawake zinatarajiwa kufanyika tarehe 8 siku ya Jumamosi ambapo Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndiye Mgeni rasmi wa shughuli hii.

Mleta mada umepokea Matuc mangapi ya wachoma mabango ya Samia hadi sasa?
 
Maonesho ya aina yake ya mbio za magari yanatarajiwa kurindima wakati Rais Samia akiwasili jijini Arusha na hiyo itakuwa ni sehemu ya staili ya kipekee ambayo inapangwa kama sehemu ya mapokezi hayo.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Sherehe za Siku ya Wanawake zinatarajiwa kufanyika tarehe 8 siku ya Jumamosi ambapo Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndiye Mgeni rasmi wa shughuli hii.

Tangia napata akili ya kupiga kura , sikuwahi ona mgombea anaelazimisha kete za kukubalika na watu wake kama mgombea wa ccm wa mwaka huu,ni bahati mbaya no reforms no election aisee
 
Back
Top Bottom