Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Vitu vya kipuuzi hivi, kupoteza pesa kwenye mambo yasiyo na umuhimu huku vitu vya umuhimu tukiviacha, tatizo la viongozi wetu ni kukosa vipaumbeleMatumizi makubwa na ya anasa ya kijinga kabisa, Arusha tuna RC mjinga haswa na fisadi
Kiukweli Konda Boy na Arachuga,ni kipele kimepata mkunaji!。Maonesho ya aina yake ya mbio za magari yanatarajiwa kurindima wakati Rais Samia akiwasili jijini Arusha na hiyo itakuwa ni sehemu ya staili ya kipekee ambayo inapangwa kama sehemu ya mapokezi hayo.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Sherehe za Siku ya Wanawake zinatarajiwa kufanyika tarehe 8 siku ya Jumamosi ambapo Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndiye Mgeni rasmi wa shughuli hii.
Matumizi ya serikali ya Tanzania ni makubwa kuliko ya serikali ya MarekaniVitu vya kipuuzi hivi, kupoteza pesa kwenye mambo yasiyo na umuhimu huku vitu vya umuhimu tukiviacha, tatizo la viongozi wetu ni kukosa vipaumbele
Hapo anapiga hela ya umma hizo ni mbinu za kuiba hakuna auding wala CAG atasogeaKiukweli Konda Boy na Arachuga,ni kipele kimepata mkunaji!。
P
Wewe ndiyo mjinga. Kwahiyo ulitaka kwenye maadhimisho wale magimbi na kukimbiza maguta ili isionekane anasa.Matumizi makubwa na ya anasa ya kijinga kabisa, Arusha tuna RC mjinga haswa na fisadi
Dada angu wewe huwezi kuelewa haya mambo makubwa akili yako bado ni ndogo sn, kwanza bado unaishi kwa shemeji ako. PoleWewe ndiyo mjinga. Kwahiyo ulitaka kwenye maadhimisho wale magimbi na kukimbiza maguta ili isionekane anasa.
Neta, utatekwa! Lakini najua wewe ni mafia hawakuwezi Hawa mbuzi!Matumizi makubwa na ya anasa ya kijinga kabisa, Arusha tuna RC mjinga haswa na fisadi
Hata wakiniteka hawezi kuteka mawazo angu niwe hai au mfuNeta, utatekwa! Lakini najua wewe ni mafia hawakuwezi Hawa mbuzi!
Watu maskini na stressed kama wewe huwa mnaamini na wengine wamepigika kama wao.Dada angu wewe huwezi kuelewa haya mambo makubwa akili yako bado ni ndogo sn, kwanza bado unaishi kwa shemeji ako. Pole
Wewe na mumeo mnamiliki nini?Watu maskini na stressed kama wewe huwa mnaamini na wengine wamepigika kama wao.
Tena Kwa mambo yasiyo na umuhimu kwa wananchi! Hizo fedha wangeongeza madawa mahospitalini.Matumizi ya serikali ya Tanzania ni makubwa kuliko ya serikali ya Marekani
Madawa wapi tengeneza skimu za umwagiliaji mwaka huu kuna changamoto ya mvua, tunaongozwa na watu wajinga haswaTena Kwa mambo yasiyo na umuhimu kwa wananchi! Hizo fedha wangeongeza madawa mahospitalini.
Mtume mkeo aje aone ninachomiliki uone kama atarudi tena kwako! Ahahahahaha!!Wewe na mumeo mnamiliki nini?
Labda umkate na pangaMtume mkeo aje aone ninachomiliki uone kama atarudi tena kwako! Ahahahahaha!!
Ahahahahaha! We mtume tu! Kama hauna nauli nimtumie.Labda umkate na panga
Huyu hana pa kwenda zaidi ya Arusha?Maonesho ya aina yake ya mbio za magari yanatarajiwa kurindima wakati Rais Samia akiwasili jijini Arusha na hiyo itakuwa ni sehemu ya staili ya kipekee ambayo inapangwa kama sehemu ya mapokezi hayo.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Sherehe za Siku ya Wanawake zinatarajiwa kufanyika tarehe 8 siku ya Jumamosi ambapo Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndiye Mgeni rasmi wa shughuli hii.
Rais mwenye akili ujikita kwenye shughuli za maendeleo ya kweli siyo matamasha na michezo zaidi ...watanzania tumepata hasara kubwa sana kwa huyu shetani bushiriMaonesho ya aina yake ya mbio za magari yanatarajiwa kurindima wakati Rais Samia akiwasili jijini Arusha na hiyo itakuwa ni sehemu ya staili ya kipekee ambayo inapangwa kama sehemu ya mapokezi hayo.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Sherehe za Siku ya Wanawake zinatarajiwa kufanyika tarehe 8 siku ya Jumamosi ambapo Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndiye Mgeni rasmi wa shughuli hii.