Hata legacy B4 mkuu yani EJ20 ya subaru sekunde kadhaa tu unamaliza kisahani...Subaru zenyewe hasa Subaru Impreza imetengenezwa kwa ajili ya Rally by Default. Kwa mfano Subaru WRX. Abbreviation WRX ni "World Rally eXPerimental" hivyo utaona mtengenezaji kaipa hilo gari jina la Mashindano tangu Kiwandani. Ukweli ni kuwa hata Subaru Forester,linachanganya mapema kukiko gari nyingi za Toyota,hivyo Kampuni ya Fuji Heavy Industries ambayo ndiye mtengenezaji wa Subaru Models(pamoja na ndege na silaha/vifaa vingine) amejijengea heshima kwa kutengeneza gari zenye uwezo mkubwa.
Hata legacy B4 mkuu yani EJ20 ya subaru sekunde kadhaa tu unamaliza kisahani...
Super Sport Car ni zile gari zenye speed kubwa kama Bugatti,Lamborgini,Ferrari.
Anatumia Ford Proto. Anawapeleka mbio madereva wa kibongo kwa sababu gari ni ya kisasa.Sirchief vp kisu anachotumia Ahmed Huwel?
Huyo Michael Maluwe ni mtangazaji wa michezo labda kama unataka aje atangaze ila hawezi kuleta somo la tecnician au specification za rally cars.Kapteni Michael Maluwe na David Matata mkuje na huku kwa GT kutoa somo!
Scoda Fabia imefanya vizuri sana kwenye Rally zote alizocheza nayo na Manvir pia ni dereva mzuri.Mimi naikubali Skoda Fabia,kama ile anatumia Manvir Baryan kwenye mashindano ya ARC Rally championship..
muscle cars ni zenye mainjini makubwa, unakuta gari ni V8 la cc6000 af ni coupe tu.Sedan za Mmarekani zenye powerful za kufa mtu, mara nyingi huwa ni milango mitatu...wakali wa kutoa muscle cars ni chevrolet (camaro), dodge (challenger/charger) na ford (mustang).
Kwahio Sprint timeframe ya Forester ni Technically slow sawa tu na ma Toyota mengi ambayo ni 2L+Toleo za Subaru huyo Forester yuko nyuma ya Imprezza na Legacy kwa kuchanganya mapema.
Wakati Forester akitumia sekunde 7 kufika 100Km/h
Legacy anatumia 5.8
Imprezza Wrx anatumia 5.6
Imprezza Wrx Sti anatumia 4.7