Mbio za Mtoto ni Mboni Yangu kufanyika Novemba 23, 2024, Zanzibar

Mbio za Mtoto ni Mboni Yangu kufanyika Novemba 23, 2024, Zanzibar

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Kampeni ya Taifa ya Mtoto Ni MboniYangu inatarajiwa kuanza Novemba 23, 2024 Zanzibar chini ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, ikisimamiwa na Waziri Riziki Pembe Juma kwa kushirikiana na taasisi ya Ndoto Ajira

Lengo la Kampeni hii ni kuwalinda watoto dhidi ya Ukatili, Udhalilishaji pamoja na wanawake na wazee ili kuleta jamii yenye maadili mema.

Kampeni hii itaendana na Marathon itakayoshirikisha Washiriki 20,000 kutoka Bara na Visiwani, ikiwa na mpango wa kukusanya Tsh. Milioni 650 zitakazotumika katika utekelezaji wa kampeni hiyo katika viwanja vya Mao

Pia soma:
~
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Riziki Pembe Juma atembelea JamiiForums
~ Zanzibar: Kampeni ya kupinga ukatili na udhalilishaji kwa Watoto, Wazee na Wanawake kuanza Desemba 14, 2024
 
Mashindano yabadilishwe jina, Yaongezwe neno Samia
 
Back
Top Bottom