bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,689
- Thread starter
- #61
Hope sasa mwanga umeanza kukuona baada ya kipigo cha Spurs ngoja jumamosi hii tuwalaluwe na Mancity ndiyo watutambue.The blues hapa
Kwa upande wangu mechi mbili zinazofata, ya spurs na man city ndo zitatupa uelekeo sahihi wa ubingwa, kwa sasa tupo vizuri sana.