Tetesi: Mbivu na Mbichi ya CUF kujulikana Jumanne Saa nne kamili asubuhi

Tetesi: Mbivu na Mbichi ya CUF kujulikana Jumanne Saa nne kamili asubuhi

Vyama vingi vya Tanzania ni mamluki, hakuna upinzani wa kweli, wapinzani wa kweli walishapotea/potezwa mf: K malima, H kolimba, P babu Nk. Hawa wengine hakuna ni kudanganya wananchi kwa maslahi yao, ndio maana mi nimeamua kuwa mfuasi wa serikali tu....
You are deluded.
 
Akimrejesha lipumbaf badi amtafutie meza ofisini kwake
 
Mwenyekiti wa CUF anawekwa/kuteuliwa na mkutano mkuu wa taifa. Mtatiro amewekwa na balaza la uongozi kama mwenyekiti wa muda. Hiyo ni katiba ya cuf. Hahaahahaha soma vizuri. Lipumba bado mwenyekiti!
Hata kama Mtatiro ni Mwenyekiti wa muda , uko wapi uhalali wa Lipumba ? Huyu alijiuzulu mwenyewe tena akawadharau na kuwapuuza wote waliomuomba aachane na huo usaliti wake , wakiwemo Mashehe wanaoheshimika sana , video ya kauli zake imo humu jf .

Na nachukua fursa hii kumpa onyo Magdalena Sakaya , aachane na lipumba , atampoteza vibaya sana , lipumba ni msaliti na yuko kazini , huyu ndie Mtanzania pekee aliyefunguliwa mlango wa ikulu kwenda kumpongeza Magufuli kwa kushinda urais , ile haikuwa bahati mbaya , kwa muda mrefu tulimuonya Abdul Kambaya kukaa mbali na Usaliti wa Lipumba akakaidi , kilichompata mmekiona .

Mshahara wa dhambi ni mauti .
 
Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi kutangaza ofisi yake inamtambua uongozi upi ndani ya CUF siku hiyo.

Mytake:

Tukumbuke Uchaguzi wa CUF ulishafanyika na Mtatiro ndio Mwenyekiti. Figisufigisu hazitafaa!
Mungu ampe ujasiri wa kupambanua kati ya kujiuzuru na kuchukua likizo. Afafanue kama Lipumba alijiuzuru kwa muda au alijiuzuru tu kama kawaida.
 
Hata kama Mtatiro ni Mwenyekiti wa muda , uko wapi uhalali wa Lipumba ? Huyu alijiuzulu mwenyewe tena akawadharau na kuwapuuza wote waliomuomba aachane na huo usaliti wake , wakiwemo Mashehe wanaoheshimika sana , video ya kauli zake imo humu jf .

Na nachukua fursa hii kumpa onyo Magdalena Sakaya , aachane na lipumba , atampoteza vibaya sana , lipumba ni msaliti na yuko kazini , huyu ndie Mtanzania pekee aliyefunguliwa mlango wa ikulu kwenda kumpongeza Magufuli kwa kushinda urais , ile haikuwa bahati mbaya , kwa muda mrefu tulimuonya Abdul Kambaya kukaa mbali na Usaliti wa Lipumba akakaidi , kilichompata mmekiona .

Mshahara wa dhambi ni mauti .
Halwa tamu mkuu.
 
baraza kuu la cuf lina uwezo wa kujaza nafasi yoyote ya uongozi na kutoa taarifa kwa mkutano mkuu wa cuf . utakaoitishwa kulingana na kalenda ya vikao vya chama.
Kama Chadema, Mwenyekiti alipo mkaribisha mtuhumiwa wa Ufisadi. Waliobaki wali taarifiwa tu.
 
Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi kutangaza ofisi yake inamtambua uongozi upi ndani ya CUF siku hiyo.

Mytake:

Tukumbuke Uchaguzi wa CUF ulishafanyika na Mtatiro ndio Mwenyekiti. Figisufigisu hazitafaa!
Ni imani yetu kuwa anataka kumtambua Lipumba. Hata hivyo lengo si kuondoa ama kumaliza mgogoro ndani ya CUF, hapo lengo ni lile lile la kudhoofisha upinzani. Lipumba ana lengo baya kwa CUF. Wajumbe na wanachama wa CUF, huu ni wakati wa kusimama imara dhidi ya njama za maadui wa demokrasia na CUF.
 
Huyu jaji ni aina tatizo tulilona hapa Tz . Tumemuona na matamko yake kipindi cha UKUTA akidanganya kuitisha mikutano ya upatanishi lakini akaishia kuwaacha waTz pale alipoamuriwa na Ccm kuwatelekeza. Sasa kadandia suala la mtu aliyacha uongozi kwa hiyari yake ? Ili awakoroge CUF

WaTz siku wakijithamini hawatachezewa na watu aina ya sijui jaji nani
My take,suala la ukuta halkua la watanzania wote,lilikua n la kikundi flan klichotest mr.prezidaa huyu yupoje
 
Hata kama Mtatiro ni Mwenyekiti wa muda , uko wapi uhalali wa Lipumba ? Huyu alijiuzulu mwenyewe tena akawadharau na kuwapuuza wote waliomuomba aachane na huo usaliti wake , wakiwemo Mashehe wanaoheshimika sana , video ya kauli zake imo humu jf .

Na nachukua fursa hii kumpa onyo Magdalena Sakaya , aachane na lipumba , atampoteza vibaya sana , lipumba ni msaliti na yuko kazini , huyu ndie Mtanzania pekee aliyefunguliwa mlango wa ikulu kwenda kumpongeza Magufuli kwa kushinda urais , ile haikuwa bahati mbaya , kwa muda mrefu tulimuonya Abdul Kambaya kukaa mbali na Usaliti wa Lipumba akakaidi , kilichompata mmekiona .

Mshahara wa dhambi ni mauti .
Kumkataa bila kificho yule miaka nenda walisema n fisadi km ni usaliti bhas waTz sisi tunamatatzo[emoji23] [emoji23]
 
CUF ina kiongozi wake mkuu au mmiliki kwa lugha nyepesi. Ni Maalim Seif Sharifu Hamad. Nyingine zote ni mbwembwe tu.
Ni kama CDM na mzee Mtei.
 
Back
Top Bottom