Tetesi: Mbivu na Mbichi ya CUF kujulikana Jumanne Saa nne kamili asubuhi

Tetesi: Mbivu na Mbichi ya CUF kujulikana Jumanne Saa nne kamili asubuhi

Akuna kitu kibaya Kama usalati ila Leo Wana ccm wanataka LIPUMBA aendelee kuwa mwenyekiti CUF tangu lini CCM inaombea CUF mema ngoja tungoje msajili wa vyama aseme yake LIPUMBA kwa hili sizani kma ataibuka kidede YETU macho
 
Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi kutangaza ofisi yake inamtambua uongozi upi ndani ya CUF siku hiyo.

Mytake:

Tukumbuke Uchaguzi wa CUF ulishafanyika na Mtatiro ndio Mwenyekiti. Figisufigisu hazitafaa!
Hapa lazima kuwe na maelekezo
 
Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi kutangaza ofisi yake inamtambua uongozi upi ndani ya CUF siku hiyo.

Mytake:

Tukumbuke Uchaguzi wa CUF ulishafanyika na Mtatiro ndio Mwenyekiti. Figisufigisu hazitafaa!
CUF wameshafanya uchaguzi wa mwenyekiti!!??
 
Hata kama Mtatiro ni Mwenyekiti wa muda , uko wapi uhalali wa Lipumba ? Huyu alijiuzulu mwenyewe tena akawadharau na kuwapuuza wote waliomuomba aachane na huo usaliti wake , wakiwemo Mashehe wanaoheshimika sana , video ya kauli zake imo humu jf .

Na nachukua fursa hii kumpa onyo Magdalena Sakaya , aachane na lipumba , atampoteza vibaya sana , lipumba ni msaliti na yuko kazini , huyu ndie Mtanzania pekee aliyefunguliwa mlango wa ikulu kwenda kumpongeza Magufuli kwa kushinda urais , ile haikuwa bahati mbaya , kwa muda mrefu tulimuonya Abdul Kambaya kukaa mbali na Usaliti wa Lipumba akakaidi , kilichompata mmekiona .

Mshahara wa dhambi ni mauti .

Ungetumia muda huo kumsuu yule aliyepokea 10b ,kwa kutoa nafasi ya kugombea uraisi baada ya kumtukana kwa miaka 10
 
Back
Top Bottom