lameckkawawa
JF-Expert Member
- Sep 13, 2015
- 944
- 665
Tutamuongeza kwenye orodha ya wanaoipeleka tanzania katika miujiza ya ulimwengu huuYupo kwenye mtihani wa kufaulu au kufeli.
Hapa lazima kuwe na maelekezoMsajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi kutangaza ofisi yake inamtambua uongozi upi ndani ya CUF siku hiyo.
Mytake:
Tukumbuke Uchaguzi wa CUF ulishafanyika na Mtatiro ndio Mwenyekiti. Figisufigisu hazitafaa!
CDM na seif wanataka kuiua CUF bara.Tafuta katiba ya Cuf soma vizuri
Mipango inayo dumaza uchumi ili CCM itawale milele kwa gharama yetu?Ccm ina master plan ya miaka 100 mbele,haibatishi,Achana na nyie kina yahaya wa siasa.
Ccm ina master plan ya miaka 100 mbele,haibatishi,Achana na nyie kina yahaya wa siasa.
Ccm ina master plan ya miaka 100 mbele,haibatishi,Achana na nyie kina yahaya wa siasa.
CUF wameshafanya uchaguzi wa mwenyekiti!!??Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi kutangaza ofisi yake inamtambua uongozi upi ndani ya CUF siku hiyo.
Mytake:
Tukumbuke Uchaguzi wa CUF ulishafanyika na Mtatiro ndio Mwenyekiti. Figisufigisu hazitafaa!
CFU. Ndiyo kidude ganiBila Prof Lipumba hamna CFU. Lowasa haiwezi.
Lengo la kuisambaratisha UKAWA limetimia
Hata kama Mtatiro ni Mwenyekiti wa muda , uko wapi uhalali wa Lipumba ? Huyu alijiuzulu mwenyewe tena akawadharau na kuwapuuza wote waliomuomba aachane na huo usaliti wake , wakiwemo Mashehe wanaoheshimika sana , video ya kauli zake imo humu jf .
Na nachukua fursa hii kumpa onyo Magdalena Sakaya , aachane na lipumba , atampoteza vibaya sana , lipumba ni msaliti na yuko kazini , huyu ndie Mtanzania pekee aliyefunguliwa mlango wa ikulu kwenda kumpongeza Magufuli kwa kushinda urais , ile haikuwa bahati mbaya , kwa muda mrefu tulimuonya Abdul Kambaya kukaa mbali na Usaliti wa Lipumba akakaidi , kilichompata mmekiona .
Mshahara wa dhambi ni mauti .