Wote hao wakristo mkristo mwenye uzoefu mkubwa kwa wagombea ni TuliaMwakilishi wa Wakatoliki ni yupi hapo? Na Wasabato? Kumbuka hao siyo Wakristu kwa tafsiri ya walokole
We jamaa una chuki za kipuuzi sana. Kipindi ambacho akina Mwamposya wako katika mihimili yote mitatu mbona hukushangaa?Mihimili yote 3 iwe Sheikh Alhad?
Sikuwa nimezaliwa mkuuWe jamaa una chuki za kipuuzi sana. Kipindi ambacho akina Mwamposya wako katika mihimili yote mitatu mbona hukushangaa?
Sent from my SM-G935V using JamiiForums mobile app
Je, Zanziabar mgombea wao ni yupi? Je Wachagga? Na Wagogo je?Wote hao wakristo mkristo mwenye uzoefu mkubwa kwa wagombea ni Tulia
Kumbuka Wanaotakiwa kupendekezwa in watatu tu.....
Kuchuja unaangalia wawakilishi wa majority sio minorityJe Zanziabar mgombea wao ni yupi? Je Wachagga? Na Wagogo je?
Dr MwijakuHuyu
Ni nani huyu??
Chama Cha Mapinduzi naamini watatoa wagombea makini na kisha tutapata mgombea moja makini atakayekiwakilisha Chama. Kazi Iendelee.Kila la heri wagombea wote. Spika atakayechaguliwa akumbuke kuwa yeye ni mmoja tu aliyekabidhiwa dhamana nyuma yake kuna Watanzania zaidi ya 55,000,000
Bakwata Wako Mbele Sana. Sjui Kama St. Peter watapata safari HiiAsante kwa taarifa, kwa vyovyote vile fanyeni muwezalo mtuletee jina la mtu mwenye sifa ya kuwa spika mkuu wa mhimili asiye jipendekeza na kujishusha kwa mkuu mwenzake wa mhimili.
Tatu bora yangu niNaatabiri watatu kuteuliwa ugombea uspika kupitia CCM ni Tulia Ackson,Masele na Azzan Zungu
Sababu ya kwanza Zungu kuwakilisha waislamu...
Chenge ondoa huwezi jaza wakristo watupu au wasukuma wawili kwenye nafasi tatu chenge msukuma masele msukumaTatu bora yangu ni
1. Tulia Ackson.
2. Andrew Chenge.
3. Stephen Masele.
Iwapo Tulia akipata uspika naibu wake ni Masele
Ila kabila yake msukumaMasele hajawahi kuwa Sukuma Gang
Tangu lini wasukuma wakawa wanapewa privilage ya uongozi nchini sababu ya u-"majority"wao?Kuchuja unaangalia wawakilishi wa majority sio minority
Vigezio vya kimajority kiinchi ndicho kutumika
Kura za wasukuma pekee zaweza kukupa uraisi hata nchi nzima wakikunyima kura sababu ya ukubwa ya population yaoTangu lini wasukuma wakawa wanapewa privilage ya uongozi nchini sababu ya u-"majority"wao?