Mbivu na mbichi za Wagombea Uspika wa CCM kujulikana leo Januari 19, 2022

Mbivu na mbichi za Wagombea Uspika wa CCM kujulikana leo Januari 19, 2022

Joka la makengeza/ joka la mdimu, mtemi!! CHENGE!! njia pekee ya kumzuia ni kukata jina lake kwenye sekretarieti!! na ,
kwenye kamati kuu!!

Akifika ngazi ya halmashauri kuu hakamatiki tena ni lazima apete!! Watu kama Tulia hawana ubavu wa kupambana na Mtemi Chenge!! Inabidi wabebwe na sekretarieti na kamati kuu!! In fact, given a level play ground, nk one can match with CHENGE!!
 
Naatabiri watatu kuteuliwa ugombea uspika kupitia CCM ni Tulia Ackson,Masele na Azzan Zungu

Sababu wa kwanza Zungu kuwakilisha waislamu

Tulia kuwakilisha wakristo

Masele kuwakilisha Sukuma gang lililokabidhi kiti kwa Mama Samia wasukuma wengi wamechukua fomu mwakilishi wao atakuwa Masele
Mkuu YEHODAYA , hatutafuti Spika wa kuongoza ibada wala kufanya matambiko, hivyo hakuhitajiki uwakilishi wowote wa dini wala kabila!
Hawa hawana makandokando yeyote akipata sawa
Akitokea mwenye makando kando, kama yanauthibitisho wowote, then akatwe, lakini mtu mwenye makandokando ya wivu, uongo, fitna na majungu tuu, kama atatupatia Spika Bora, twende naye.
Hao jamii haina mikashfa ya kuwatuhumu wakipitishwa hakutakuwa na miguno wala maneno maneno ya kuponda CCM ndani na nje
Hao ambao hawana makandokando, kama watatupatia Bora Spika, tupa kule!, Tanzania inahitaji Spika Bora na sio Bora Spika !. Kwenye hiyo list kuna Spika Bora mmoja tuu, the one and only !.
P
 
Chenge na mwenzie sofia watatumia nguvu ya pesa achilia mbali msukuma, tulia na steve watakaotumia mizizioloji.

Huyo wa chama cha upinzani nampa heko sana amedhubutu
Sofia Simba ashafulia hana hela yoyote, la sivyo angeshinda viti maalum mwaka jana
 
Chenge ondoa huwezi jaza wakristo watupu au wasukuma wawili kwenye nafasi tatu chenge msukuma masele msukuma

Na huwezi weka wote wakristo watupu wote watatu muislamu lazima awemo
Ndo tumefika hali hii ya kuangalia kigezo cha dini!
 
Hii ndio taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Chama hicho Shaka Hamdu.

Taarifa zinaeleza kwamba kuahirishwa kwa kikao hicho kunatokana na kusambaratika kwa wajumbe wa kikao hicho kulikoibua Makundi yanayonyukana , huku kila kundi likitaka mgombea wake awe Spika .

Mwanzo wa sekeseke hilo ni fununu za kuwataka Wajumbe lazima wamchague Dr Kashilila ambaye ni Mgombea wa Mfukoni wa Wakubwa .

Usikae mbali na JF ili uendelee kupata kila kinachojiri kwenye mnyukano huo , YUKO NZI WANGU NDANI YA VIKAO VYAO .
 
Hii ndio taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Chama hicho Shaka Hamdu.

Taarifa zinaeleza kwamba kuahirishwa kwa kikao hicho kunatokana na kusambaratika kwa wajumbe wa kikao hicho kulikoibua Makundi yanayonyukana , huku kila kundi likitaka mgombea wake awe Spika ...
Haya mngewaachia Wafu wazikane Tu.
 
Hii ndio taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Chama hicho Shaka Hamdu.

Taarifa zinaeleza kwamba kuahirishwa kwa kikao hicho kunatokana na kusambaratika kwa wajumbe wa kikao hicho kulikoibua Makundi yanayonyukana , huku kila kundi likitaka mgombea wake awe Spika...
Huyo Dkt.Kashilila sio muumini wa haki na katiba.

Hivu Naibu amegoma kujiuzulu??
 
S
Kwa nini Chadema hawajapeleka mgombea uspika?
Subiri labda wanasubiri wakati wa uchaguzi wenyewe, si unajua hata mgombea huru anaruhusiwa....kinachoendelea sasa ni mchakato wa kupata mgombea atakaye wakilisha CCM, Chadema labda huwa hawana utaratibu kama huu!
 
Natamani wavurugane tu tuanze upya kuanzia juu mbaka chini.
 
Back
Top Bottom