Mboga zangu 5 simple nizipendazo kulia chakula (hasa ugali) na Jinsi ninavyoziandaa

Kweli nimeamini Wanaume wa ukweli walishaisha
 
siku nikiamka najiskia kupika bas jueni tayar maji yanaweza panda mlima. kiukwel cjawahi kupenda mambo ya mapishi
 
Utakuwa una mke mkuu , huo mda wa kuandaa mavitu yote hayo unautoa wapi na stress za maisha hizi , mm mama ntilie watanikoma hadi nioe ndo napunguza safari za kwenda kula kwa mama hawa
 
Hivi Kuna kitu gani najua kupika zaidi ya chai!! Tena sometime huwa chai inakuwa na mabuja sijui yanatokeaga wapi!.. wataalum hebu nijulisheni hili nakosea wapi
shemsha maji baada ya dk mbili weka majani ys chai your good to go...
 
ndizi nazi na utumbo acha kabisa
 
Dagaa wa Mtwara, mtindi kazi inabaki kusonga ugali siku imeisha.
 
siku hz sokoni zipo mashine unakuniwa tu nazi yk
 
Kila nkijaribu kuiga hz mboga nachoka naacha!!
 
Napika sababu huko tunapokula vyakula vya ajabu ajabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…