Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikiwa na njaa sichagui kbsukiwa na njaa huwa huchagui chakula eeh? 😂
Tambi ziko wapi mkuu?Ahshante. Mkuu japo shemejio ilibidi aingilia kati kwa simu. Nimeelekezwa kama hapa ulipoeleza. Nimefanikisha.
Nimetumia Karoti,Kitunguu,royco mchuzi mix .
Japo sipendi tambi.. kuna wakulungwa nimewarekebishia. Hope hawatapenda😀😀
Nishajishibia nyama za morombo jioni hii..
View attachment 1591536
we mwalimu nawewe,mbona ivyo lakini
Hii recipe nimeichukua[emoji1]Mkuu siku jaribu kupika majani ya maboga kwa carrots za kusaga,kitunguu,pilipili,curry powder,nazi ya azam na peanut butter kwa mbali....alaf pembeni pika rosti lako la maini na ugali......thank me later[emoji41]
Nenda maduka ya wahindi kanunue ile binzari halisi kabisa ya India na pilipili ya unga. Binzari ikaange baada tu ya vitunguu kabla ya nyanya...nogesha zaidiAsante nilisahau jina ila mchuzi natumia curry powder ile ina unjano njano flani hv ni nzuri.
Ingekuwa vyema ungeleta madhara ya kila mayai kwa wingi tuyajue.Ni mazoea mabaya sana kupenda kula mayai kwa wingi na mara kwa mara!
Ni kwa bahati mbaya sana kwenye jamii ama hawana ufahamu juu ya maswala ya lishe salama au wengine wanafahamu athari ya kula mayai mengi mara kwa mara lakini wanapuuza miiko!
ndizi sizipendi hasa zisipokuwa zile zenye kiladha cha sukari...wanaita mzuzu!zamani hizo niko chini ya himaya ya wazazi hamna chakula nilikua sipendi kula kama ndizi,mpk naondoka nyumbani kila mtu anajua sipendi ndizi,lakini sasa hivi sijui ni maisha sijui nini ila nilijaribu jifunza pikaa ndizi tangu hapo hadi leo ndizi ni one of my favourite food.
hasa zikiwa za nazi na zaidi nizipike mwenyewe,nilimpkia mama angu 1st day ananitembelea kwangu tangu nitoke home alifurahi na hakuamini alihisi ni ndoto. Ndizi tamu sana na ndio mana ni moja ya vyakula gharama ktk kuvipika ili vitoke vitamu.
Masela kuota nyonyo na hagaz na trako kama aliyekuwa RC mtaka vyte kwa pooperIngekuwa vyema ungeleta madhara ya kila mayai kwa wingi tuyajue.
Tupate Elimu inayoeleweka.Masela kuota nyonyo na hagaz na trako kama aliyekuwa RC mtaka vyte kwa pooper
ngoja nikutaftie mtu wa food scienceTupate Elimu inayoeleweka.
Nitashukurungoja nikutaftie mtu wa food science
Njia moja wapo ya kutoa gesi ni kunywa k vant kidogo sana baada ya kulamtindi mzuri mkuu mtamu sana,mbona zipo njia za kutoa gesi tumboni nzuri lakini bila kusahau kujamba sio dhambi.
sema na wewe ukikomalia kitu chako,mpaka kiwe yani ndo ukubali yaishe.
Utakuwa na Anti-Nyonyo effectsmbona mimi sioti asee...