Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu ujue unafanya mambo magumu bure tu,tukisema tutumie kiswahili fasaha hatutoelewana humu ndani.Sosi la/ya mayai au dagaa ni kitoweo.
Mtindi ni maziwa yaliyochachushwa na bakteria yanayotumika kama kinywaji au kitoweo.
Nasisitiza mtindi, dagaa na mayai sio mboga.
mkuu ujue unafanya mambo magumu bure tu,tukisema tutumie kiswahili fasaha hatutoelewana humu ndani.
Nimeshindwa kuhisi mkuu, ndio maana nauliza?Unahisi naweza kuwa jinsia gani mkuu?
we unawaangalia hao mkuu? sasa unaweza kwenda nunua mkaa kweli wewe?Tatizo kwenda sokoni.
Wadada wananiangalia kinoma.
Alafu urudi uanze kuandaa hivyo vitu vya kupika mpaka umalize hamu ya kula yote imeisha
we unawaangalia hao mkuu? sasa unaweza kwenda nunua mkaa kweli wewe?
kuukoleza hadi ukoleee je? brother kupika hakutaki aibu wala uoga halafu kupika
umejifungia jikoni utatoa chakula kibaya,jiachie,relax koleza mkaa,pepeta mchele,pembua pika pilau hiloo [emoji23]
nimekubali mkuu,sijabisha.
kuna watu wamejivika uzungu wakati wanajua fika tupo Tanzania tena huku tandale ndani ndani.
At least wewe unakula vizuri. Ila huyu jamaa anakula ili ashibe tu(asife).Vyote hivyo nakorofisha pia hupenda nyama ya kukaanga kwa ugali pembeni kuna kachumbari pia prawns wa kukaanga lakini unaacha sosi kidogo hawa ni kwa wali. Sasa hivi niko kwenye zoezi kali sana la kujifunza kupika pilau. [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] Mie pia sipendi kula nje nafanya hivyo mara moja moja sana.
At least wewe unakula vizuri. Ila huyu jamaa anakula ili ashibe tu(asife).Vyote hivyo nakorofisha pia hupenda nyama ya kukaanga kwa ugali pembeni kuna kachumbari pia prawns wa kukaanga lakini unaacha sosi kidogo hawa ni kwa wali. Sasa hivi niko kwenye zoezi kali sana la kujifunza kupika pilau. [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] Mie pia sipendi kula nje nafanya hivyo mara moja moja sana.
Ndio hivyo. Na sio mayai tu. Vyakula vingi vina limitations zake. Eat healthy.kwa wiki kitaalamu eti mayai mawili hadi matatu?! mkuu upo serious ktk hili??
unazungumzia mayai gani bosiInadibidi tujue jinsi ya kujizuia na kuwa na kiasi.
Hata kama unapesa ya kununua trays za mayai lakini lazima ujue kujizuia [emoji108][emoji108]
Kitaalam inashauriwa mtu kula mayai 2-3 tu kwa wiki moja tena hasa sehemu nyeupe!
Sasa wabongo akijaliwa vijisenti kidogo basi atayatifua mayai mpaka basi!
Hata nyama vivyo hivyo n.k
kwa sisi watu wa Wa mwambao waPWANI hasa visiwaniNawaogopa sana wanaume ambao they can take a good care of themselves, wengi huchelewa kuoa ama wasioe kabisa..
Imagine juzi job kuna wakaka tulikuwa tunabishana nao bei ya nyanya sado..! [emoji23] [emoji23]
Sijasusa wala, nimeona tu uvivu kueleza maana nilichouliza kiko wazi ...amereply comments nyingi kwani niliyomquote hajui inahusu nini?si umwambie tu kwann sasa umeghairi? sio vibaya kumkumbusha maana anakua ka reply comment nyingi sazngine anatamani kujua nini unataka,wewe unamleta kwenye lengo.
akikataa sasa au kuzungusha ndio ruksa kughairi,sema unasusa haraka na wewe ktu kdg tu!