Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Simu aina gani?Habari wakuu. Mbona app ya sms imekuwa kama whatsapp. Hata inaruhusu kuunda niunde group. Imekaaje hii?
My favorite rival, punguza kiherehere ๐๐ค.Simu aina gani?
Ndio maana sikupendi๐๐.My favorite rival, punguza kiherehere ๐๐ค.
๐ We ni fundi simu๐๐คฃ๐ค
Tecno sparkSimu aina gani?
Kumbe. Basi ushamba wangu.Hii ya siku nyingi tu, lamda kama huwa huitumii ndio umegundua sasa.
unaweza ukaunda grp la watu wengi ukituma mesejo moja tu inawafikia.
Hata zile meseji zinazotoka voda, tigo au airtel zote wameunda magrp
Umemkosea muulizaji.My favorite rival, punguza kiherehere ๐๐ค.
๐ We ni fundi simu๐๐คฃ๐ค
Huni pendi๐๐คฃ๐คฃ, haya update sms app ya simu yako๐๐ค.Ndio maana sikupendi๐๐.
Nataka tu nijue ni simu zote au aina fulani ya simu ili nitupe hii tecno wereva yangu
Tuna Juana bhana, don't take it personally ๐๐Umemkosea muulizaji.
Si kila simu ina utaratibu huo.
Mfano Samsung, unaandika msg katika kutuma unatik multiple #s unazotaka wapokee hiyo msg bila ya kutengeneza group.
Lakini simu kama Itel na nyingi za mchina, ukitaka kutuma msg moja kwa watu wengi zinakutaka utengeneze group.
Na ukisharusha hiyo msg, group hilo waweza kulifuta vile vile.
mshamba_hachekwiKumbe. Basi ushamba wangu.
OkTuna Juana bhana, don't take it personally ๐๐
Nielekeze namna ya ku update before nikusaidie kufanya serviceHuni pendi๐๐คฃ๐คฃ, haya update sms app ya simu yako๐๐ค.
๐ Features zime ongezeka, Afu antenna yangu Ina hitaji service ๐๐๐
Nenda play store, Kisha nenda my apps- halafu update.Nielekeze namna ya ku update before nikusaidie kufanya service
Hii simu Gani mkuuView attachment 2866438
Like this, huo ujumbe uliwafikia zaidi ya watu mia.
Hii ni message application ipi?View attachment 2866438
Like this, huo ujumbe uliwafikia zaidi ya watu mia.