Mbona binti yangu anaelewa vya nje ya darasani tu?

Hahaha dah... mpe mda mkuu . Pia inaonekana anashinda kwenye tv saana na kanisan ndo maana anauelewa mkubwa wa hayo mambo .. tumia mda mwingi kumfundisha ... bandika hata picha za irabu ukutani kwake azione mara kwa mara itasaidia
kuna kaukwel mkuu
 
Ha ha ha huyo mtoto so fun i wish he/she was my young ningeinjoy sana, akili za darasani ztakuja a na anazo ila bado hazijawa revealed inahitaji technic za ziada kama kumuwekea material kama vitabu vya picha na maneno kama mi nakumbuka utotoni nliwekewa mazingra flani ya kuwa karibu na vitabu mda mwingi i swear neno greel nlilijua hata kabla sijaanza chekechea kutokana na picha nzuri ya geti halafu chini imeandikwa greel japo nlkua siwezi kulisoma ila kila nlipoona geti, neno greel lilijichora kichwani, so mazingira kama hayo yanasaidia
 
Chukua vipande 5 vya karasi vyenye ukubwa wa wa ganda la jojo/wembe.Andika maneno tofauti ktk kila karatasi,mpatie na mpe wiki moja kukariri vitu maneno hayo.Itakusaidia kujua uwezo wake kushika mambo.
Doctor Benn Carson alikua hivihivi,alibadilika darasani mara baada ya kuachishwa mazoea yakuwatch TV mda mrefu.Hakikisha anakosa hizo fursa za mambo mengine na mda mwingi atumie ktk kujifunza.
"WHAT THE BRAIN EATS,BECOMES THE BEHAVIOUR" And "THE REPEATED OF ANYTHING IS WHAT STAYS IN THE BRAIN"
Ninauhakika TV na kumshirikisha mambo mengne yasiyohusu masomo ndo tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…