Pre GE2025 Mbona CHADEMA hawajipangi ngazi za chini (grass root) kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?

Pre GE2025 Mbona CHADEMA hawajipangi ngazi za chini (grass root) kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Waziri mwenye dhamana ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ametangaza kuwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa utafanyika Novemba, 2024.

Jinsi muda unavyoyoyoma kuelekea uchaguzi huo ninaona kabisa CHADEMA hawajijipanga kabisa kwa Uchaguzi huu. Wenzenu CCM wanapita nyumba kwa nyumba wakiomba kura, Wanapita nyumba kwa nyumba au mtaa kwa mtaa wakiandikisha wananchi ninyi CHADEMA mko kimya.

Soma Pia: Waziri Mchengerwa: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Bara utafanyika 27 November, 2024

Kwa uchaguzi huu nionavyo mimi CCM watavuna zaidi ya asilimia 95 ya Mitaa yote Tanzania Bara. Msije mkailaumu CCM kuwa wamewachezea rafu kumbe ninyi ndo hamkufanya juhudi kuhakikisha mnapata ushindi wa kishindo.
 
Wenzenu CCM wanapita nyumba kwa nyumba wakiomba kura, Wanapita nyumba kwa nyumba au mtaa kwa mtaa wakiandikisha wananchi
UONGO huu, mitaa ya wapi hiyo na nyumba kwa nyumba zipi?!!!

Bora ungesema wanajiandaa kuiba kura kama kawaida yao.

Na ukiona wanaandikisha namba za vitambulisho vya wapiga kura maana yake ni wizi unatengenezwa mapema, vitanunuliwa
 
Mhe. Waziri mwenye dhamana ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ametangaza kuwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa utafanyika Novemba, 2024. Jinsi muda unavyoyoyoma kuelekea uchaguzi huo ninaona kabisa CHADEMA hawajijipanga kabisa kw auchaguzi huu. Wenzenu CCM wanapita nyumba kwa nyumba wakiomba kura, Wanapita nyumba kwa nyumba au mtaa kwa mtaa wakiandikisha wananchi ninyi CHADEMA mko kimya. Kwa uchaguzi huu nionavyo mimi CCM watavuna zaidi ya asilimia 95 ya Mitaa yote Tanzania Bara. Msije mkailaumu CCM kuwa wamewachezea rafu kumbe ninyi ndo hamkufanya juhudi kuhakikisha mnapata ushindi wa kishindo.
Wanavopita nyumba kwa nyumba wanaacha nini?
 
CHADEMA mnatakiwa muwe very smart. Wenzenu tayari wako hatua 50 mbele.
 
Waziri mwenye dhamana ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ametangaza kuwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa utafanyika Novemba, 2024.

Jinsi muda unavyoyoyoma kuelekea uchaguzi huo ninaona kabisa CHADEMA hawajijipanga kabisa kwa Uchaguzi huu. Wenzenu CCM wanapita nyumba kwa nyumba wakiomba kura, Wanapita nyumba kwa nyumba au mtaa kwa mtaa wakiandikisha wananchi ninyi CHADEMA mko kimya.

Soma Pia: Waziri Mchengerwa: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Bara utafanyika 27 November, 2024

Kwa uchaguzi huu nionavyo mimi CCM watavuna zaidi ya asilimia 95 ya Mitaa yote Tanzania Bara. Msije mkailaumu CCM kuwa wamewachezea rafu kumbe ninyi ndo hamkufanya juhudi kuhakikisha mnapata ushindi wa kishindo.
BORA WASISHIRIKI MAANA TUME NI CCM
 
Back
Top Bottom