Mbona Chama cha Umoja Party kipo kimya?

Mbona Chama cha Umoja Party kipo kimya?

Justine Marack

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
612
Reaction score
1,698
Mbona kimya ghafla? Nini tatizo wandungu?

Kila Kona ya nchi watu wamejawa na kiua ya kuona usajili wa chama pendwa Duniani.

Watu wanataka kuvunja rekodi za chama kuvuna wanachama mamilioni Kwa wiki Moja tu, tena bila mikutano ya hamasa.

UMOJA party kinawanachama kabla ya kusajiliwa, ni chama ambacho watu Wana Imani nacho kama dini vile.

Serikali ya CCM wanatakiwa kusapoti usajili wa chama hiki ufanyike haraka bila figisu kwani hiki ndio chama pekee ambacho ni kipimo sahihi Kwa ukomavu wa CCM.

UMOJA party ni kimbilio neutral Kwa watu wanao tafuta uwanja mbadala wa siasa.

Sasa ukimya wa UMOJA PARTY unaleta mashaka, tunataka kujua hatua ipi imefikiwa.

Tunataka kusimamisha wagombea katika Uchaguzi wa 2025.

Tafadhali tunaomba Updates.
 
Mbona kimya ghafla? Nini tatizo wandungu,?
Kila Kona ya nchi watu wamejawa na kiua ya kuona usajili wa chama pendwa Duniani. Watu wanataka kuvunja rekodi za chama kuvuna wanachama mamilioni Kwa wiki Moja tu, tena bila mikutano ya hamasa.
UMOJA party kinawanachama kabla ya kusajiliwa, ni chama ambacho watu Wana Imani nacho kama dini vile.
Serikali ya CCM wanatakiwa kusapoti usajili wa chama hiki ufanyike haraka bila figisu kwani hiki ndio chama pekee ambacho ni kipimo sahihi Kwa ukomavu wa CCM.
UMOJA party ni kimbilio neutral Kwa watu wanao tafuta uwanja mbadala wa siasa.
Sasa ukimya wa UMOJA PARTY unaleta mashaka, tunataka kujua hatua ipi imefikiwa .
Tunataka kusimamisha wagombea katika Uchaguzi wa 2025.
Tafadhali tunaomba Updates.
CCM wanakamati ya kuvuruga vichwa vya watu ukikaribia uchaguzi wanawachukua wapinzani wanagawanya kwa mbili kila upande na ushindi huanzia hapo
 
Mbona kimya ghafla? Nini tatizo wandungu?

Kila Kona ya nchi watu wamejawa na kiua ya kuona usajili wa chama pendwa Duniani.

Watu wanataka kuvunja rekodi za chama kuvuna wanachama mamilioni Kwa wiki Moja tu, tena bila mikutano ya hamasa.

UMOJA party kinawanachama kabla ya kusajiliwa, ni chama ambacho watu Wana Imani nacho kama dini vile.

Serikali ya CCM wanatakiwa kusapoti usajili wa chama hiki ufanyike haraka bila figisu kwani hiki ndio chama pekee ambacho ni kipimo sahihi Kwa ukomavu wa CCM.

UMOJA party ni kimbilio neutral Kwa watu wanao tafuta uwanja mbadala wa siasa.

Sasa ukimya wa UMOJA PARTY unaleta mashaka, tunataka kujua hatua ipi imefikiwa.

Tunataka kusimamisha wagombea katika Uchaguzi wa 2025.

Tafadhali tunaomba Updates.
Kimya kingi kina mshindo wasiwasi ni kwamba kikianza kazi chadema,cuf na Act wajipange!
 
Wamepigwa pin hakuna kupata usajiri wa kudumu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kaeni humo humo ccm mpk mzekee hapo ... Baada ya kuona msajiri kawapiga ban walijaribu kutaka kwenda Nccr mageuzi lkn nako yakatokea ya kutokea nako wamepigwa ban [emoji23][emoji23] [emoji23]... Kwenda chadema hawewezi maana ni mpinga mtukufu wao wa chatto ... hivyo wanejikuta hawana pa kwenda na baadhi yao wameona isiwe tabu , wanajiita chawa wa mama [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wamepigwa pin hakuna kupata usajiri wa kudumu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kaeni humo humo ccm mpk mzekee hapo ... Baada ya kuona msajiri kawapiga ban walijaribu kutaka kwenda Nccr mageuzi lkn nako yakatokea ya kutokea nako wamepigwa ban [emoji23][emoji23] [emoji23]... Kwenda chadema hawewezi maana ni mpinga mtukufu wao wa chatto ... hivyo wanejikuta hawana pa kwenda na baadhi yao wameona isiwe tabu , wanajiita chawa wa mama [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usije ukashangaa kikaja kuwa Ccm B, Country of opportunities !!
 
Kila Kona ya nchi watu wamejawa na kiua ya kuona usajili wa chama pendwa Duniani.

Watu wanataka kuvunja rekodi za chama kuvuna wanachama mamilioni Kwa wiki Moja tu, tena bila mikutano ya hamasa.[emoji23]
 
Kila Kona ya nchi watu wamejawa na kiua ya kuona usajili wa chama pendwa Duniani.

Watu wanataka kuvunja rekodi za chama kuvuna wanachama mamilioni Kwa wiki Moja tu, tena bila mikutano ya hamasa.[emoji23]
Kwa sasa kama uko Mwanza na una mzigo wa kuisafirisha huwezi kupata Lori maana Yote yamekodiwa kwa Kazi maalumu
 
Mbona kimya ghafla? Nini tatizo wandungu?

Kila Kona ya nchi watu wamejawa na kiua ya kuona usajili wa chama pendwa Duniani.

Watu wanataka kuvunja rekodi za chama kuvuna wanachama mamilioni Kwa wiki Moja tu, tena bila mikutano ya hamasa.

UMOJA party kinawanachama kabla ya kusajiliwa, ni chama ambacho watu Wana Imani nacho kama dini vile.

Serikali ya CCM wanatakiwa kusapoti usajili wa chama hiki ufanyike haraka bila figisu kwani hiki ndio chama pekee ambacho ni kipimo sahihi Kwa ukomavu wa CCM.

UMOJA party ni kimbilio neutral Kwa watu wanao tafuta uwanja mbadala wa siasa.

Sasa ukimya wa UMOJA PARTY unaleta mashaka, tunataka kujua hatua ipi imefikiwa.

Tunataka kusimamisha wagombea katika Uchaguzi wa 2025.

Tafadhali tunaomba Updates.
USISAHAU SUKUMA GANG nao chama Chao kiko KIMYA sijui kwa nini
fs6t4x.jpg
 
Mlango umefunguliwa kwa vyama vya siasa kujirusha majukwaani.

Ni muda muafaka pia kwa vyama vinayokamilisha usajili kuchangamka ili viwahi majukwaani.

UMOJA PARTY mmefikia wapi?
Au mmejiunga mahala?
 
Kimya kingi kina mshindo wasiwasi ni kwamba kikianza kazi chadema,cuf na Act wajipange!
Hahahaha ACT ilianza kwa mikwara hivo hivo ila haikufika kura laki 1!! Ukiachana na Dr Slaa Hivi Kuna mpinzani kati ya 2005-2015 alikua maarufu kuliko Zitto?

Umoja kelele zitakua nyingi ila wakianza pigwa virungu, kufungiwa selo, kunyimwa fomu za NEC ndio wataelewa kwamba Chadema ni imara kuliko vyote.
 
Back
Top Bottom