Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Kinakuja kushindana na upinzani au CCM?😂😂Kimya kingi kina mshindo wasiwasi ni kwamba kikianza kazi chadema,cuf na Act wajipange!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinakuja kushindana na upinzani au CCM?😂😂Kimya kingi kina mshindo wasiwasi ni kwamba kikianza kazi chadema,cuf na Act wajipange!
Tamka legacy ya magufuli huku umekaza matak wewe ujui huyo ni mtukufu JPMChama chenye picha ya marehemu inayotumika kama nembo hakiwezi kusaijiliwa kamwe.
Chama kilianzishwa na sukuma gang kwa malengo ya kuendeleza maovu yaliyokuwa yanafanywa na jini jiwe (Legacy ya jiwe).
Kinakuja kushindana na wahuni wote wa chama tawala na upinzani na tunamtambua kuwa magufuli ni mtukufu....siyo yule chegovara wamsoga ambaye mama kahaba ,baba fisadi mtoto ana uza ngadaKinakuja kushindana na upinzani au CCM?[emoji23][emoji23]
Chama chocote ni genge la watu, bahati nzuri umekili ni genge la watu hivyo tayari limekidhi sifa za kuwa chama, maana chama cha siasa ni grup la watu wenye mtazamo na madhumuni yanayofanana.Hakuna Chama Pale, Lile Ni Genge Tu La Watu
Anzisheni basi, mnasubiri nini?Kinakuja kushindana na wahuni wote wa chama tawala na upinzani na tunamtambua kuwa magufuli ni mtukufu....siyo yule chegovara wamsoga ambaye mama kahaba ,baba fisadi mtoto ana uza ngada
Kwa mwlekeo wa Vyama vya Siasa vilipo, ni bora Umoja Party.Watu wanataka kuvunja rekodi za chama kuvuna wanachama mamilioni Kwa wiki Moja tu, tena bila mikutano ya hamasa.
Kwa mwlekeo wa Vyama vya Siasa vilipo, ni bora Umoja Party.
Umoja Party ni chama chenye kuubeba uzito wa karibia vyama vyote vya Siasa nchini. Inawezekana msajili hakuwa amekosea kufifisha ujio wao.Kwani UP hawajaunga juhudi?