Mbona Chama yupo bench la Berkane Sasa hivi

Mbona Chama yupo bench la Berkane Sasa hivi

Dabil

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
6,823
Reaction score
15,293
Kwa mchezo unaoendelea sasa hivi Chama yupo kwenye list ya wachezaji ambao wapo benchi.

Hizi tetesi kwamba yupo bongo imekuwaje?

Screenshot_20211217-190414.jpg
Screenshot_20211217-190406.jpg
 
Heee, TK masters kutoka Dar Young Africans SC anamuweka benchi chama kutoka Makolo fc?
Kocha Ibenge ni muumini wa mbio wakati Chama ni mtulivu na slow. Hukumbuki hata AS Vita iliyocheza na Simba kwenye CAF champions league walivyokuwa wanakimbia?

Vv
 
Heee, TK masters kutoka Dar Young Africans SC anamuweka benchi chama kutoka Makolo fc?
Ndo Maana mnaitatwaga machoko Ivo Ivo ,una papara balaa ,Chama na Kisinda wanacheza no moja?

Yaan vijitu vya yanga vimejaa makamasi tu kichwan mwao
 
Back
Top Bottom