Mbona Couple za JF zimepunguza kasi ni vyuma au mnapambana na hali?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unantania Ww,hii ni zaidi ya adhabu ujue...
Haaaaaa kweli bana ,, sasa kwann unizungushe wakati tylikubaliana kubadilishana ,toka mwaka Jana ,naww ukaniambia nisibadilishane namtu nisubiri tubadilishane , sasa mpaka Leo aiseee alafu unajua nina uhitaji nao sanaa ??.

Sio poaaa ,, ifike mahali tuwe na mioyo ya watoto ,akisema kasema kweli, au ulikua unanitamanisha tuu? Namm nilijua tu ,,aya kaa nao ukiwa tayar uniambie ,ila ujue namm itanibidi nikupe mzigo wenyewe tu natoa na nyongeza nilopanga kuiweka.
 
Nipe nyongeza kwanza bathiiiii[emoji39] [emoji39]
 
Nipe nyongeza kwanza bathiiiii[emoji39] [emoji39]
Tatizo you don't wanna to walk on the same way !!... Nikupe nyongeza alafu ukinambia tafuta mwingine badilishana naye au kanunue kipya ,, mie sindo hasara ??? Hahahaaaa

Naogopa kupata hasara ,bora ungesema nifanye km alivyotakiwa kufanya Dr Shika 25%. ..lkn napo bado ningetia shaka kwanza ,Sahihi yako nitaipata wapi ???.Weweeee..wacha tu nijipangee nitafute kitu cha Original km chako vipo tu.
 
Ha ha ha ha ha Baby Vladimirovich Putin umepita hukuuu......
 
Eeeh jamaniiii khaa[emoji12] [emoji12] biashara uaminifu ujuee
 
Kumbe wewe ndiye unayemuharibia jirani yangu kichwa kichafu eeh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wewe ndio umemunyang'anya carbamazepine, mimi najua KK na carba ni kopo lakini nikaja kushangaa kule kijiwe cha usiku wa manane naambiwa KK ni kopo yako
 
Eeeh jamaniiii khaa[emoji12] [emoji12] biashara uaminifu ujuee
Haaaaaa niuaminifu ndio ,ila sahihi nilazima tena siku izi ,sahihi za alama za vidole na nasura lazima viwepo maana dunia imeharibika hiiii !!!.

Alafu bwana ,hiii sio biashara , niseme ni kitu ya kiubinadamu , sio kwamba tukibadilishana we itakua umepoteza au Mimi nmepoteza bila shaka yapo mengi ambayo hata we kwabaadae utahitaji tusaidiane

Naninaposema nilipanga nikuongezeee nisababu tu yakwamba bado nmeona mzigo uko vzuri alafu kuitaji tubadilishane nijambo zuri zaidi la hekima uloamua ,ndo maana nikasema izo zitakua nikm shukurani zangu .

Au vipi nielekeze ulipochukua ,,au siku ukirudi uko hong kong unambie ukanichukulie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…