Mima white cute
JF-Expert Member
- Nov 24, 2017
- 740
- 1,305
😉
Jambo zuri ,Mshukuru Muumbaji akuzidishiaye kipato chako nakupaye Afya njema !! ..Afya ikupayo uwezo wakutenda kazi vile utendavyo.Inaenda poa mpnz Vladimirovich Putin.
Daby sisi vyumavyetu havijakaza bado tumeamua kubebishana huku huku🙂
🙂mkuu
Mweeeee[emoji125] [emoji125] basi sio kijeshi...
mibebisho usipime sio ya nchii hiii......full kujidekeza tu mima wakoMweeeee[emoji125] [emoji125] basi sio kijeshi...
Japokua ni kimahaba haba fuel kubembelezana.
Mhhhhh mpemba weeee aya bana ,naona mpaka moyo unaruka ruka haaaaaaaa nyie wapwani bana......mibebisho usipime sio ya nchii hiii......full kujidekeza tu mima wako
kwakweli wewe jifaidie tu hakuna namna.......Mhhhhh mpemba weeee aya bana ,naona mpaka moyo unaruka ruka haaaaaaaa nyie wapwani bana......
Wacha mwanamme wa mkoani nifurahi .
Asante sana Mkuu !!! Mie naww damu damukwakweli wewe jifaidie tu hakuna namna.......
Wapwani vs wabala.....hatari
Hakiii nimekushindwaMimi ni Behaviourist,kazi yangu ni kuwasoma watu!....Simsomi yeye peke yake ila nawasoma all humankind world wide!!....Kuwa na amani mkuu nipo kazini natakeleza majukumu!!
Shunie anakusalimia sana
Sisi bado tunakulana na tutaendelea kukulana nimepita tu mara moja kwahiyo mm ninakulwa na wawili hapo Lee empire na Lyonhaha mwambie dady yake namsalimu pia.
Hivi kwa nini unajitesa lakini zama pm[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mm kuna mtu hapa Jf Nampenda kinyamaa laiti angejua........ Angeshamiliki hili papa
Wkend hiii najuaa mambo swafiii kichwaniiii ...Sisi bado tunakulana na tutaendelea kukulana nimepita tu mara moja kwahiyo mm ninakulwa na wawili hapo Lee empire na Lyon
Hata me namshangaa kwa nini anajitesaJikaze sema usife na feeling zako
Ndugu yangu una gundu si la nchi hiiyaan mpk dakika hii sijapata siamini[emoji19] [emoji19]
Hapana jaman nimeuliza tu ninakulwa na wawiliWkend hiii najuaa mambo swafiii kichwaniiii ...
Yaani hiyo avatar yako huwa naitendea haki waalah [emoji7][emoji8]
Njoo basi kesho uuchukue,mm nilitaka uupate ukiwa viwango vingine ili uniamini zaidi na zaidi....Haaaaaa niuaminifu ndio ,ila sahihi nilazima tena siku izi ,sahihi za alama za vidole na nasura lazima viwepo maana dunia imeharibika hiiii !!!.
Alafu bwana ,hiii sio biashara , niseme ni kitu ya kiubinadamu , sio kwamba tukibadilishana we itakua umepoteza au Mimi nmepoteza bila shaka yapo mengi ambayo hata we kwabaadae utahitaji tusaidiane
Naninaposema nilipanga nikuongezeee nisababu tu yakwamba bado nmeona mzigo uko vzuri alafu kuitaji tubadilishane nijambo zuri zaidi la hekima uloamua ,ndo maana nikasema izo zitakua nikm shukurani zangu .
Au vipi nielekeze ulipochukua ,,au siku ukirudi uko hong kong unambie ukanichukulie.
Mie nina makopo kibao, kk ni jirani yangu mpendwa, the only jirani in the world [emoji6][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wewe ndio umemunyang'anya carbamazepine, mimi najua KK na carba ni kopo lakini nikaja kushangaa kule kijiwe cha usiku wa manane naambiwa KK ni kopo yako