Mbona Couple za JF zimepunguza kasi ni vyuma au mnapambana na hali?

Mbona Couple za JF zimepunguza kasi ni vyuma au mnapambana na hali?

Poa haina shida Mkuu !!uwe unanipa updates basi ili kuepuka usumbufu alafu niwe na Tumaini la uhakika.

Ujue mpaka nikasema huyu nisababu ya ID fake sasa hataki kuniletea USO USO ?? Ndo maana nikasema ukishindwa nitumie kwa basi namm nikutumie ili kila mtu abaki kua "Mtu asojulikana".
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sisi sote ni ndugu mkuu,
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sisi sote ni ndugu mkuu,
Basi sawa mkuu ukumbuke Christians tunahimizwa upendo Wetu kujengwa katika matendo ...tukaambiwa mtendee mtu jambo ambalo naww unapenda kutendewa ..hii inaonyesha upendo haina ya ndugu ,rafiki nilazima ujengwe ktk Matendo .

So make sure undugu wetu unakua in needs and in deeds !!. Nadhani hii itaongeza nguvu ya kuaminiana napia nafasi ya kusaidiana zaidi nazaidi .

Leo nmeamua nikuchane laivu laivu mkuu ,, nikweli ID fakes ila we shud be really katika masuala muhimu yenye kunufaisha pande zote !!.
 
Basi sawa mkuu ukumbuke Christians tunahimizwa upendo Wetu kujengwa katika matendo ...tukaambiwa mtendee mtu jambo ambalo naww unapenda kutendewa ..hii inaonyesha upendo haina ya ndugu ,rafiki nilazima ujengwe ktk Matendo .

So make sure undugu wetu unakua in needs and in deeds !!. Nadhani hii itaongeza nguvu ya kuaminiana napia nafasi ya kusaidiana zaidi nazaidi .

Leo nmeamua nikuchane laivu laivu mkuu ,, nikweli ID fakes ila we shud be really katika masuala muhimu yenye kunufaisha pande zote !!.
naomba unitafutie mchumba
 
Basi sawa mkuu ukumbuke Christians tunahimizwa upendo Wetu kujengwa katika matendo ...tukaambiwa mtendee mtu jambo ambalo naww unapenda kutendewa ..hii inaonyesha upendo haina ya ndugu ,rafiki nilazima ujengwe ktk Matendo .

So make sure undugu wetu unakua in needs and in deeds !!. Nadhani hii itaongeza nguvu ya kuaminiana napia nafasi ya kusaidiana zaidi nazaidi .

Leo nmeamua nikuchane laivu laivu mkuu ,, nikweli ID fakes ila we shud be really katika masuala muhimu yenye kunufaisha pande zote !!.
[emoji120] [emoji120]
 
Sina ningejipendelea kujiweka juu. Ila unavyopapenda MMU siku hizi tegemea kumpata.

Eeeeeh kweli napenda unavyojiweka..

Humu MMU huwa nachungulia na kusepa pia.. na kwa kuwa humu miaka yote hii unajua lazima waliojaribu wamejaribu na bado wanajaribu kama kawa.
 
Back
Top Bottom