Mbona Couple za JF zimepunguza kasi ni vyuma au mnapambana na hali?

Mbona Couple za JF zimepunguza kasi ni vyuma au mnapambana na hali?

Sawa haina shida mkuuu , ukiwa tayar basi unishtue ila usiniwekee sana muda unakwenda alafu kuna watu nawapotezea nawachenga kweli ili usinione km sikua serious.

Fanya ivo kamanda Wangu !!Uni PM basi nijue ili tufanye mawasiliano yakueleweka nijue Day gan , ungeweza tungetumiana tu kwa njia ya basi !!.
Poapoa chalii angu,.nimekusumbua sana ntakuletea mwenyewe mpaka mlangoni,.niwie radhi kwa usumbufu mdogo,.tupo pamoja sana.
 
Nilipojiunga JF dec 2016,Niliikuta couple moja tu ndo ninayoamin ya ukweli sema ban iliwaharibia mudi ya kuzurura mitaa ya JF. Hizi zilizofuatia za 2017 siamin kama kuna ya ukweli hapo bali ni ile kupaishana tu mitaa ya JF.
Zipo lukuki sema zingine kimya kimya zingine wanafanya utani utani kumbe papa zinatolewa.

Ila wewe mgumu kwa couple kinoma yaani viserengeti naonaga vinakuja unavitolea.
 
Poapoa chalii angu,.nimekusumbua sana ntakuletea mwenyewe mpaka mlangoni,.niwie radhi kwa usumbufu mdogo,.tupo pamoja sana.
Poa haina shida Mkuu !!uwe unanipa updates basi ili kuepuka usumbufu alafu niwe na Tumaini la uhakika.

Ujue mpaka nikasema huyu nisababu ya ID fake sasa hataki kuniletea USO USO ?? Ndo maana nikasema ukishindwa nitumie kwa basi namm nikutumie ili kila mtu abaki kua "Mtu asojulikana".
 
Back
Top Bottom