ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,879
- 41,971
ngoja nimfate[emoji124] [emoji124]Mwambie bana afanye mambo maana yeye ni mzoefu lazima akupatie aliyenaye wa ziada[emoji85] [emoji85]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ngoja nimfate[emoji124] [emoji124]Mwambie bana afanye mambo maana yeye ni mzoefu lazima akupatie aliyenaye wa ziada[emoji85] [emoji85]
Ahahah huu mwaka hauezi isha lazima uwe double tuyaan wew acha tu mwaka mbaya huu kwangu
hahaha eti kaka angu anasema[emoji85]Nimemshangaa anashindwa eti kujibebisha kwako
Wewe usijali maana tunakutana kwenye mapupu[emoji39] [emoji39] [emoji39]Au mimi ilikuaje eti
Poapoa chalii angu,.nimekusumbua sana ntakuletea mwenyewe mpaka mlangoni,.niwie radhi kwa usumbufu mdogo,.tupo pamoja sana.Sawa haina shida mkuuu , ukiwa tayar basi unishtue ila usiniwekee sana muda unakwenda alafu kuna watu nawapotezea nawachenga kweli ili usinione km sikua serious.
Fanya ivo kamanda Wangu !!Uni PM basi nijue ili tufanye mawasiliano yakueleweka nijue Day gan , ungeweza tungetumiana tu kwa njia ya basi !!.
nitafutie mdog angu kama una wa ziada huko nipeko mim basi hata wakuzugiazugiaAhahah huu mwaka hauezi isha lazima uwe double tu
hahaha eti kaka angu anasema[emoji85]
Ahahhah ngoja nikutafutie hata wa kuzugianitafutie mdog angu kama una wa ziada huko nipeko mim basi hata wakuzugiazugia
nitashukur mdogo wanguAhahhah ngoja nikutafutie hata wa kuzugia
Usijal ndugu yangu ngoja nianze michakatonitashukur mdogo wangu
Zipo lukuki sema zingine kimya kimya zingine wanafanya utani utani kumbe papa zinatolewa.Nilipojiunga JF dec 2016,Niliikuta couple moja tu ndo ninayoamin ya ukweli sema ban iliwaharibia mudi ya kuzurura mitaa ya JF. Hizi zilizofuatia za 2017 siamin kama kuna ya ukweli hapo bali ni ile kupaishana tu mitaa ya JF.
Oouh, bila shaka mna girisi ya kutosha... haya endeleeni kula vinono.Inaenda poa mpnz Vladimirovich Putin.
Daby sisi vyumavyetu havijakaza bado tumeamua kubebishana huku huku🙂
🙂mkuu
Poa haina shida Mkuu !!uwe unanipa updates basi ili kuepuka usumbufu alafu niwe na Tumaini la uhakika.Poapoa chalii angu,.nimekusumbua sana ntakuletea mwenyewe mpaka mlangoni,.niwie radhi kwa usumbufu mdogo,.tupo pamoja sana.