contagious
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 528
- 344
Mapenzi hayana umri, huyu atakuwa ni hohehahe hakika.Kwa hiyo umri unaenda mtu anajikuta anachitchat humu na hakuna alilolifanya ndiyo mashamsham yanapungua?
Au mimi mleta uzi niache kuwaza mapenzi umri unaenda mkuu?
Btw, nimekupa like.
Huitaji hasira, Hapa ni uwanja wa Jamii na matukio ya kijamiiiUzi zingine hizi ni za upupu tu..yaani dogo unawaza kujipendekeza na kuandika stupidity tu
Umeolewa!?[emoji2][emoji2][emoji2]
Happy new yr baby.KK anamichepuko kila kona me nimemshindwa kwakweli
Halafu hebu nitajie kapo yako kwanza
[emoji102]Unalolisema ni kweli maana kila nikipita kijiwe lazima nimkute anabebika.
Mimi sina kopo bana, Dada yangu emmyta amenikataza[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Jirani kipenzi kweli mti wenye matunda unapigwa mawe.Kumbe wewe ndiye unayemuharibia jirani yangu kichwa kichafu eeh
Upendo wangu hautakoma jirani yangu kipenzi hawajui tumetoka wapi. Nakupenda Sana jirani yanguMie nina makopo kibao, kk ni jirani yangu mpendwa, the only jirani in the world [emoji6]
Jirani mwenye siri nzito za jirani yake anayewajua mashemeji zake na bila kuwabagua anawafanya wanakuwa marafiki zake [emoji41]
Nani kama kk, embu muache kichwa kichafu wangu banah. Huyo carba ameshindwa mwenyewe tuu kk hana makuu kabisa.
Ni kweli dear, binadamu si wema.Jirani kipenzi kweli mti wenye matunda unapigwa mawe.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Happy new yr baby.
Teh teh teh [emoji124] [emoji124] [emoji124]Ni kweli dear, binadamu si wema.
Nakupenda pia jirani yangu, Mungu akuweke miaka Mia moja ujirani wetu udumu milele.Upendo wangu hautakoma jirani yangu kipenzi hawajui tumetoka wapi. Nakupenda Sana jirani yangu
Ukikuta kakata kamba uje nikupe nyingineNakupenda pia jirani yangu, Mungu akuweke miaka Mia moja ujirani wetu udumu milele.
Na vipi kuhusu yule shemeji yako hunter mbona simuoni tena akija kunitembelea?
Au ndio mbuzi kakata kamba?
Embu nisubirie tuongozane [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Teh teh teh [emoji124] [emoji124] [emoji124]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukikuta kakata kamba uje nikupe nyingine
Sawa[emoji5]Embu nisubirie tuongozane [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Mmmhhh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niombee kheri ndugu yangu maana hali si shwari