Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
I wish nami nifike huko Daslamu hata nikae wiki moja tu...Duuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.
Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.
Haki ya nani na mimi sihami.
inshaAllah one day yes.