I wish nami nifike huko Daslamu hata nikae wiki moja tu...Duuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.
Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.
Haki ya nani na mimi sihami.
ππππ huyu nzabzab ni balaa.tupuUkishamkojolea mwanamke mara tatu tayari utaona mwee kumbe huyu tako lake la kushoto limepinda
Job yrue true...ila sii kweli nisemayo au wee huja experience hilo?ππππ huyu nzabzab ni balaa.tupu
Halaf we mwamba unajitoa ufaham ukute kumbe ni afisa mwenye cheo na familia kabisa,si ajabu mpk wajukuu ukawa naoπ na km haitoshi ni afisa kutoka lile jengo lililokaa kama mweweπJob yrue true...ila sii kweli nisemayo au wee huja experience hilo?
litutumbwe upo sahihi mie nina cheo kikubwa sana kwanza hadi PA ninae ila napenda kuonfoa stress za kazi na maisha hapa jf.Halaf we mwamba unajitoa ufaham ukute kumbe ni afisa mwenye cheo na familia kabisa,si ajabu mpk wajukuu ukawa naoπ na km haitoshi ni afisa kutoka lile jengo lililokaa kama mweweπ