Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Kumbe unajua maisha yake hadi huko ofisini? Unashindwa nini kujua chanzo cha yeye kukonda kama ulivyosema.Kafunga kila siku alikuwa anabugia bagia ofisin kwake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe unajua maisha yake hadi huko ofisini? Unashindwa nini kujua chanzo cha yeye kukonda kama ulivyosema.Kafunga kila siku alikuwa anabugia bagia ofisin kwake
[emoji3][emoji3][emoji3]JF.Kazi tumeajiri vijana wanaingiza pesa usijifananishe na kila unayemuona humu
Domo hafungagi,tanasha Kila wiki yuko naye mbezi,wayafanyao wajua wenyewe.Kafunga kila siku alikuwa anabugia bagia ofisin kwake
Kwahiyo mmeajiri vijana ili nyie mbaki kufuatilia mambo ya kijinga.Kazi tumeajiri vijana wanaingiza pesa usijifananishe na kila unayemuona humu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mbeya anakosaga muda kwani! Muda wowote yupo kaziniHivi muda wa kuchunguza watu kama wamekonda mnautoa wapi? Hamna kazi za kufanya.
Nani alikwambia ukiwa malaya utakufa kwa ngwe?Na. alivyo kicheche kwa wanawake nakuambia ndiyo itamuondoa. Too much womanizing.
Daah.Tuanzie hapa
"Gonjwa hili limezua kizaazaa mzozo gumzo, kwa mabradha, masista duu, machizi, waalimu na wanafunzi gonjwa hili lapita kasheshe ni kazeze...."Ilikuwa ni saa kumi kasorobo sheikh mbwana yupo msikitini na baadhi ya waamini akiadhini allah akbar allah akbar akiwa ana maanisha Mungu Mkubwa Mungu Mkubwa,Alikuwa anatinga Raba Raba Mtoni Jeans kali Karl Kani na Shati la Kitenge lenye mabaka ya kenge,mtoto mdogo mwenye kipato pili ana kibito tinted mziki mzito alikuwa ana fujo jumamosi ya sabato,ni KAZEZE NI KAZEZE.
Tukiangalia hayo, asilimia 95 ya watu duniani kote wanafanya zinaa, sasa sijui inakuaje hapo shekh.ZINAA NA UFASIQI KWA UJUMLA INAONDOSHA NURU YA MTU USONI...ANAKUWA HATAMANIKI HAVUTII HAAMINIKI...NA HANA BARAKA KATIKA MAMBO YAKE...
[emoji33][emoji33][emoji33]Domo hafungagi,tanasha Kila wiki yuko naye mbezi,wayafanyao wajua wenyewe.
Wewe ndo yupi sasa hapo