Mbona Diamond amekonda na kupoteza nuru kwa haraka hivi?

Na. alivyo kicheche kwa wanawake nakuambia ndiyo itamuondoa. Too much womanizing.
Nani alikwambia ukiwa malaya utakufa kwa ngwe?
Unaweza usiwe malaya na ukapata ngwe kirahisi sana.

Alafu wewe msomi wa wapi unaejua njia ni moja tu ya kuambukiza HIV?
Alafu unaijua Cancer?
 
Ilikuwa ni saa kumi kasorobo sheikh mbwana yupo msikitini na baadhi ya waamini akiadhini allah akbar allah akbar akiwa ana maanisha Mungu Mkubwa Mungu Mkubwa,Alikuwa anatinga Raba Raba Mtoni Jeans kali Karl Kani na Shati la Kitenge lenye mabaka ya kenge,mtoto mdogo mwenye kipato pili ana kibito tinted mziki mzito alikuwa ana fujo jumamosi ya sabato,ni KAZEZE NI KAZEZE.
 
ZINAA NA UFASIQI KWA UJUMLA INAONDOSHA NURU YA MTU USONI...ANAKUWA HATAMANIKI HAVUTII HAAMINIKI...NA HANA BARAKA KATIKA MAMBO YAKE...
 
"Gonjwa hili limezua kizaazaa mzozo gumzo, kwa mabradha, masista duu, machizi, waalimu na wanafunzi gonjwa hili lapita kasheshe ni kazeze...."

Wasanii wa siku hizi hawaimbi kabisa nyimbo za magonjwa magonjwa, ni kusifu ngono na pombe tu. teh teh
 
Mleta mada hebu weka picha yako tujue na wewe kama umekonda ama la...
 
ZINAA NA UFASIQI KWA UJUMLA INAONDOSHA NURU YA MTU USONI...ANAKUWA HATAMANIKI HAVUTII HAAMINIKI...NA HANA BARAKA KATIKA MAMBO YAKE...
Tukiangalia hayo, asilimia 95 ya watu duniani kote wanafanya zinaa, sasa sijui inakuaje hapo shekh.
 
Camera ya Tecno na Infinix hua inaonesha hivyi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…