Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee kumbe utapeli shukran sana KAKA maana nilikuwa nakaribia kujaa kwenye mfumo....MOst wao ni matepeli mkuu, unakuta A55 inauzwa 250k kwa box, ukimcheki atakupa namba uende kariakoo, ukifika atajifanya ametoka ngoja akuunganishe na dogo wa stoo, watakuweka barabarani ukiwasubiri iliwakusome kama washawahi kukutapeli, kama sivyo basi atafika hapo na mtaanza safari ya kuenda kutapeliwa, yule uliewasiliana naye atakwambia kwenye hio.hela usimpe dogo 3ok au 20k ganji lake maana hamuani ,hii mbaya sana kwako sababu anakufanya umuamini yeye sana na ww utaitoa , kisha huyu jamaa yake aliokupokea atakuweka mahala na kukwambia msubiri hapo nipe hela shika simu yangu hii kama huniamini ili akavhukue simu stoo, kaka simu atakayokupa thamani yake haifiki hata robo ya hi0 230k utakayo mpa.
Chamsingi jua hakuna mteremko wala bei ya stoo ya simu . 😂View attachment 3177172
Inaweza kuwa OG ama sio OG cha muhimu kwenye kununua simu mpya za SamsungWakuu msaada izi simu za galaxy a series za fb ni OG kweli?
Mbona bei zinafanana?
Na ipi bora kwenye A series?
MOst wao ni matepeli mkuu, unakuta A55 inauzwa 250k kwa box, ukimcheki atakupa namba uende kariakoo, ukifika atajifanya ametoka ngoja akuunganishe na dogo wa stoo, watakuweka barabarani ukiwasubiri iliwakusome kama washawahi kukutapeli, kama sivyo basi atafika hapo na mtaanza safari ya kuenda kutapeliwa, yule uliewasiliana naye atakwambia kwenye hio.hela usimpe dogo 3ok au 20k ganji lake maana hamuani ,hii mbaya sana kwako sababu anakufanya umuamini yeye sana na ww utaitoa , kisha huyu jamaa yake aliokupokea atakuweka mahala na kukwambia msubiri hapo nipe hela shika simu yangu hii kama huniamini ili akavhukue simu stoo, kaka simu atakayokupa thamani yake haifiki hata robo ya hi0 230k utakayo mpa.
Chamsingi jua hakuna mteremko wala bei ya stoo ya simu . 😂View attachment 3177172
Kwa bei izo za Facebook za 250k kwa a55 mfano...kwa uzoefu wako ni refub au used?Inaweza kuwa OG ama sio OG cha muhimu kwenye kununua simu mpya za Samsung
1. Nenda dukani Physical
2. Chukua Imei ya simu ukiwa Dukani Sajili Warranty ya Samsung hapa
Samsung Care+
www.samsungcareplus.com
Kama ni Genuine na inafaa kuuzwa Africa itakubali, ila refurb, simu used, fake etc hazitakubali.
Kwa A series kuna A55, A35, A25, A15 na A05, A55 ikiwa kubwa na A05 ikiwa ndogo hizo ndio model mpya, model za zamani zinapungua Namba mfano A54, A53 etc na model inaweza kuwa na Varieties mfano A15 4G, A15 5G ama A05 na A05S etc.
Kwa A55 feki, possible kupata A05 mpya ama A15 used, A35 na A55 hata used hupati hio bei.Kwa bei izo za Facebook za 250k kwa a55 mfano...kwa uzoefu wako ni refub au used?
Ukinunua OG marekebisho ni juu ya Samsung we unalipa hela kidogo hata ikiwa ni S series, watu wanalalamika sababu wananunua refurb.MKUU iyo A15 nikivunja kioo marekebisho ni cheap au kama S series tu?
Karibu mkuuAisee kumbe utapeli shukran sana KAKA maana nilikuwa nakaribia kujaa kwenye mfumo....
Mpaka leo bado mnatepeliwa kwa mtindo huo, mitano tena kwa HangayaWakuu msaada izi simu za galaxy a series za fb ni OG kweli?
Mbona bei zinafanana?
Na ipi bora kwenye A series?
You are rightMOst wao ni matepeli mkuu, unakuta A55 inauzwa 250k kwa box, ukimcheki atakupa namba uende kariakoo, ukifika atajifanya ametoka ngoja akuunganishe na dogo wa stoo, watakuweka barabarani ukiwasubiri iliwakusome kama washawahi kukutapeli, kama sivyo basi atafika hapo na mtaanza safari ya kuenda kutapeliwa, yule uliewasiliana naye atakwambia kwenye hio.hela usimpe dogo 3ok au 20k ganji lake maana hamuani ,hii mbaya sana kwako sababu anakufanya umuamini yeye sana na ww utaitoa , kisha huyu jamaa yake aliokupokea atakuweka mahala na kukwambia msubiri hapo nipe hela shika simu yangu hii kama huniamini ili akavhukue simu stoo, kaka simu atakayokupa thamani yake haifiki hata robo ya hi0 230k utakayo mpa.
Chamsingi jua hakuna mteremko wala bei ya stoo ya simu . 😂View attachment 3177172
A53 haina issue mkuu bora utafute A52s kama Huwezi ku afford A55.Hivi A53 zinauzwa sh ngapi?