emmarki JF-Expert Member Joined Nov 22, 2012 Posts 1,001 Reaction score 1,430 Dec 18, 2024 #21 pabro11 said: Wakuu msaada izi simu za galaxy a series za fb ni OG kweli? Mbona bei zinafanana? Na ipi bora kwenye A series? Click to expand... copy ni nyingi sana, unapewa risiti na warranty kabisa. Kuna hadi infinix na tecno copy, unabisha njoo kkoo nikuonyeshe
pabro11 said: Wakuu msaada izi simu za galaxy a series za fb ni OG kweli? Mbona bei zinafanana? Na ipi bora kwenye A series? Click to expand... copy ni nyingi sana, unapewa risiti na warranty kabisa. Kuna hadi infinix na tecno copy, unabisha njoo kkoo nikuonyeshe
Kanye2016 JF-Expert Member Joined Jun 4, 2016 Posts 2,904 Reaction score 3,006 Dec 19, 2024 #22 Castr said: Kuna brand inaitwa M Horse. Mara nyingi ni hiyo inatangazwa kwa majina ya brands zingine Click to expand... Mchina huyo, nilishawahi kununua kipindi cha nyuma nikampa ndugu yangu, alipovunja kioo tu na safari ikaishia hapo.
Castr said: Kuna brand inaitwa M Horse. Mara nyingi ni hiyo inatangazwa kwa majina ya brands zingine Click to expand... Mchina huyo, nilishawahi kununua kipindi cha nyuma nikampa ndugu yangu, alipovunja kioo tu na safari ikaishia hapo.