Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Kuna mwenyekiti mmoja wa chama cha siasa amepoteza mvuto ghafla, lakini kutokana na hulka za siasa zetu haambiwi ukweli bali kwa mafumbo kama walivyo fanya mzee Butiku na mwanasiasa Rostam Aziz.
Je, leo uchaguzi ukiitishwa kura itamuangukia nani kama watasimama hawa?
Je, leo uchaguzi ukiitishwa kura itamuangukia nani kama watasimama hawa?