Pre GE2025 Mbona ghafla mvuto umepotea? Hata wapiga pambio pumzi imekata. Kura ikipigwa leo utaangukia wapi?

Pre GE2025 Mbona ghafla mvuto umepotea? Hata wapiga pambio pumzi imekata. Kura ikipigwa leo utaangukia wapi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuna mwenyekiti mmoja wa chama cha siasa amepoteza mvuto ghafla, lakini kutokana na hulka za siasa zetu haambiwi ukweli bali kwa mafumbo kama walivyo fanya mzee Butiku na mwanasiasa Rostam Aziz.

Je, leo uchaguzi ukiitishwa kura itamuangukia nani kama watasimama hawa?
Mikono yake imejaa damu za watu wasiokuwa na hatia. Karma ipo.
 
bado mwenyekiti wa chama Taifa atashinda tu na watu wake wa kazi, threat kwenye chama cha si hakuna tena, wameshamaliza kazi . Makamu mwenyekiti Taifa mwenyewe kajaa hofu yupo kimya mpka sasa dah 🐒
Tatizo lako siku zote uko nyuma ya wakati na hujui yanayoendelea nchi.
Makamu alikuwa safari na karudi nchini, kabla hajatoka hata Airport kesha toa tamko kali bila woga wowote.

View: https://youtu.be/qVzF6vaT0Ro?si=5fyGeETJLdeYM9Lp
 
By 100% yanayotokea ya utekaji uuaji ameya sanction /yana baraka/ruhusa ya huyo mwingine in a bid to consolidate power!
 
Kuna mwenyekiti mmoja wa chama cha siasa amepoteza mvuto ghafla, lakini kutokana na hulka za siasa zetu haambiwi ukweli bali kwa mafumbo kama walivyo fanya mzee Butiku na mwanasiasa Rostam Aziz.

Je, leo uchaguzi ukiitishwa kura itamuangukia nani kama watasimama hawa?
Kizimkazi akipita teke teke teke kule...
 
Tatizo lako siku zote uko nyuma ya wakati na hujui yanayoendelea nchi.
Makamu alikuwa safari na karudi nchini, kabla hajatoka hata Airport kesha toa tamko kali bila woga wowote.

View: https://youtu.be/qVzF6vaT0Ro?si=5fyGeETJLdeYM9Lp

kwahiyo alie nyuma ya wakati ni yeye au wewe na humjui kwamba dunia ni kijiji sasa?🤣

hiyo safari alikua anatembea kwa miguu sio kwamba hakua anajua wala kuona duniani kinaendelea nini right?🤣
 
Boss mbona
kwahiyo alie nyuma ya wakati ni yeye au wewe na humjui kwamba dunia ni kijiji sasa?🤣

hiyo safari alikua anatembea kwa miguu sio kwamba hakua anajua wala kuona duniani kinaendelea nini right?🤣
kwahiyo alie nyuma ya wakati ni yeye au wewe na humjui kwamba dunia ni kijiji sasa?🤣

hiyo safari alikua anatembea kwa miguu sio kwamba hakua anajua wala kuona duniani kinaendelea nini right?🤣
Mkuu mbona umepoa sana, duh kweli mama yenu mnayemsifia kawaangusha sana!!
 
Kuna mwenyekiti mmoja wa chama cha siasa amepoteza mvuto ghafla, lakini kutokana na hulka za siasa zetu haambiwi ukweli bali kwa mafumbo kama walivyo fanya mzee Butiku na mwanasiasa Rostam Aziz.

Je, leo uchaguzi ukiitishwa kura itamuangukia nani kama watasimama hawa?
Malkia wa Kizi kapoteza mvuto haswaaaaaaaa,,kapoa zaid ya maji ya mtungini
 
Boss mbona
Mkuu mbona umepoa sana, duh kweli mama yenu mnayemsifia kawaangusha sana!!
kumbe mimi ni mkuu wako, sikujua gentleman 🤣

by the way,
tulikua na msiba mbaya na mzito sana hivi karibuni nadhani vitu visivyo zoeleka na vinavyotisha ni muhimu kuchukua tafakuri ya kina juu ya mambo hayo...

so,far nchi ni tulivu, Dr.Samia Suluhu Hassan anaendelea kutekeleza kazi na majukumu yake ya kuliongoza na kuliunganisha taifa kwa bidii sana na bila mbambamba yoyote 🐒

kwan ulitaka kusemaje gentleman 🐒
 
kumbe mimi ni mkuu wako, sikujua gentleman 🤣

by the way,
tulikua na msiba mbaya na mzito sana hivi karibuni nadhani vitu visivyo zoeleka na vinavyotisha ni muhimu kuchukua tafakuri ya kina juu ya mambo hayo...

so,far nchi ni tulivu, Dr.Samia Suluhu Hassan anaendelea kutekeleza kazi na majukumu yake ya kuliongoza na kuliunganisha taifa kwa bidii sana na bila mbambamba yoyote 🐒

kwan ulitaka kusemaje gentleman 🐒
Wewe ni legend wa Jf, hapa kwetu kila mtu ni mkuu hata kama tunatofautiana kimtazamo lakini bado Sisi ni watanzania wote.

Khyo kukuita mkuu usijione nimekuheshimu au kukuogopa sana bali ni heshima tu tuliyojengewa kama taifa ambayo imeanza kutu cost pakubwa sana. Inatufanya kwasasa tumelekwe na watawala wanavyotaka ambao wewe unawasifia hata kama wamejamba ushuzi wenye uvundo.
 
Wewe ni legend wa Jf, hapa kwetu kila mtu ni mkuu hata kama tunatofautiana kimtazamo lakini bado Sisi ni watanzania wote.

Khyo kukuita mkuu usijione nimekuheshimu au kukuogopa sana bali ni heshima tu tuliyojengewa kama taifa ambayo imeanza kutu cost pakubwa sana. Inatufanya kwasasa tumelekwe na watawala wanavyotaka ambao wewe unawasifia hata kama wamejamba ushuzi wenye uvundo.
kwanza kabisa ieleweke bayana mimi si mkuu na wala sina na sistahili ukuu wowote..

ni kiongozi mnyonge sana wawananchi, nisiestahili chochote mbele ya wote, ila nashukuru Mungu kwa ile bidii ya kazi amenijalia naendelea vizuri sana kwa kazi na majukumu yangu mazito sana bilia kuchoka Wala kukata tamaa....

jambo la pili,
huwa siringi wala sijivungi. namuheshimu sana anaeniheshimu, na asie niheshimu simjali.full stop..

hakipo kitu wala jambo la kumkosti mwanadiplomasia mwandamizi mbobevu wa mbobevu katika siasa hasa nyepesi kama za Tanzania...

daima,
maoni, mtazamo, uchambuzi, ufafanuzi na mapendekezo yangu yanayozingatia tafiti yatatolewa humu bila mbambamba yoyote gentleman, stay tuned usikosee elimu muhimu sana humu jukwaani 🐒
 
Lets say amepoteza mvuto,ni mpinzani gani anavutia kupewa mamlaka aongoze dola,mbowe au lipumba??au lisu

LISSU ANA AKILI. HUYU WA SASA NI HOPELESS AU ASSAD BORA AKIFUNDISHWA KUKAZA MAKALIO. YAANI AACHE ROHO YA ULALAMISHI.
 
Kuna mwenyekiti mmoja wa chama cha siasa amepoteza mvuto ghafla, lakini kutokana na hulka za siasa zetu haambiwi ukweli bali kwa mafumbo kama walivyo fanya mzee Butiku na mwanasiasa Rostam Aziz.

Je, leo uchaguzi ukiitishwa kura itamuangukia nani kama watasimama hawa?
20240911_072258.jpg
 
Back
Top Bottom