Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
yameishaharibikaNon of the above.
"labda kama mambo yataharibika sana" Msoga line
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yameishaharibikaNon of the above.
"labda kama mambo yataharibika sana" Msoga line
SHida chadema siwapendi na ccm aliopo nae ananipa kigugumizi sana .....kama kile chama umoja party kingekuwepo kura ingeenda kule sababu team magufuli wangekuwa kuleKuna mwenyekiti mmoja wa chama cha siasa amepoteza mvuto ghafla, lakini kutokana na hulka za siasa zetu haambiwi ukweli bali kwa mafumbo kama walivyo fanya mzee Butiku na mwanasiasa Rostam Aziz.
Je, leo uchaguzi ukiitishwa kura itamuangukia nani kama watasimama hawa?
Kwani huyo mwenyekiti anahitaji uchaguzi kutangazwa mshindi?Kuna mwenyekiti mmoja wa chama cha siasa amepoteza mvuto ghafla, lakini kutokana na hulka za siasa zetu haambiwi ukweli bali kwa mafumbo kama walivyo fanya mzee Butiku na mwanasiasa Rostam Aziz.
Je, leo uchaguzi ukiitishwa kura itamuangukia nani kama watasimama hawa?
Lets say amepoteza mvuto,ni mpinzani gani anavutia kupewa mamlaka aongoze dola,mbowe au lipumba??au lisu
Hapo kuna wasio akili wengi hawajakuelewa! Kama tuna waziri tena wa Ulinzi binocular anaangalia mbele kumbe anaangalia nyuma? Hili taifa kweli miyeyusho! Kama waziri ni fake? Nani kampa hiyo nafasi? Basi naye tumuiteje? Pengine ni kwa heshima tuu vinginevyo tungesema ni mbulula tuu.
Mwenyewe kahangaika kwelikweli kuusaka "mvuto", lakini kila anacho sogelea kinamkimbia. Ule uchifu 'Hangaya' nyakati zile, hakuna kilicho patikana. Kahangaika na wana "sanaa" akitegemea wange mpamba avutie, lakini wapi.Hajawahi kuwa na mvuto, ni njaa tu za watu, mkono uende kinywani, wakawa wanampamba kwa visivyopambika.
Yaani umechuja kweli kweli. Hata machizi wenzako sasa wanakupuuza.kwahiyo hapa ndio umepafanya mahali sahihi pa mihememko, makasiriko na maneno mbofu mbofu gentleman, right?🐒
licha ya kua si mahala pake ila unajua kuyaporomosha kwa mipangilio dah 🐒
Nidhamu please!!!!🙏🙏🙏Roho inauma sana kuongozwa ha huu MSHANGAZI ila bas tu
Hakika Samia ni majeshi tu yanamshikilia amepoteza mvuto kabisa.Kuna mwenyekiti mmoja wa chama cha siasa amepoteza mvuto ghafla, lakini kutokana na hulka za siasa zetu haambiwi ukweli bali kwa mafumbo kama walivyo fanya mzee Butiku na mwanasiasa Rostam Aziz.
Je, leo uchaguzi ukiitishwa kura itamuangukia nani kama watasimama hawa?