mtanzania in exile
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 1,379
- 1,276
Kwa nini? are you serious? umejibandika jina kwa lugha ya kiarabu halafu unataka mimi nikutafsirie msemo wa kiarabu ambao watanzania tele wanautumia kila siku?kwann?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini? are you serious? umejibandika jina kwa lugha ya kiarabu halafu unataka mimi nikutafsirie msemo wa kiarabu ambao watanzania tele wanautumia kila siku?kwann?
Tekenya tekenya za Roho mtakatifu wako mpaka hujitambuiwewe allah atakuwa amekubaka jana usiku
Sisi majuha ndio wakoloni wenu,tunawaamulia Rais awe nani? Tena dodoma Tanganyika,Sisi ndio tunawalisha,na hata mifumo yenu ya elimu inatoka Kwa majuha,sisi ndio tunaamua huko U.N,FIFA,AU,EU,ECOWAS,SADC n.kvwanatutambua sisi majuha na sio nyie..Tatizo kubwa la wadanganyika ni UJUHA UJUHA UJUHA! Mmezoea kudanganywa na msakuwa summu bukmun fahum la yarjiuun. Mlianza kudanganywa toka enzi za maji maji na hadi leo hii hamjui kutumia akili kufikiri outside the box. Mume baki kushangiria lolote lile asemalo kiongozi wenu japo kuwa ni uongo au sio sahahi na deep down mnajua kuwa ni uongo au sio sahihi. As long as mkiambiwa ccm oyeee! tanzania oyeee! basi mnakwenda tu mazumbumbu!
Sisi majuha ndio wakoloni wenu,tunawaamulia Rais awe nani? Tena dodoma Tanganyika,Sisi ndio tunawalisha,na hata mifumo yenu ya elimu inatoka Kwa majuha,sisi ndio tunaamua huko U.N,FIFA,AU,EU,ECOWAS,SADC n.kvwanatutambua sisi majuha na sio nyie..
Na hata huyo mwenyekiti wa brza la mapinduzi,hana nguvu yoyote ile kwa majuha,majuha ndio wanakupatia umeme na pesa ya matumizi,kwa kifupi zanzibar ni mchepuko,na Siku zote mchepuko anapata upendeleo zaidi...
"sanaa!!" hapo umeelewekasanaa
Kwahiyo sasa ni zamu ya WADANGANYIKA kupiga kelele?Waliokuwa wanapiga kelele sasa hivi wako mezani
Heri ya sikukuu ya uungano wapendwa. Ila wazanzibari muache udini, mambo ya kukataza wenzenu kupika mchana mwezi wa ramadhani sio jambo jema mimi njaa inauma
Wizara ya fedha ya Tanganyika ofisi ziko wapi? Vipi kuna hio Wizara na hakuna nchi inayoitwa Tanganyika? 😀Umenena vema, lakini hoja ni kwa nini vuguvugu la kudai Zanzibar huru limefifia?
Kwa maandiko yako mazuri, naamini unalo la kusema juu ya hoja hiyo.
Mimi, Mtanganyika, nafikiri Wanzibari wamebadilisha 'strategy'.
Wanadai Uhuru wao kimya kimya.
Kwanza kabisa, Mtanganyika asipewe wala asinunue ardhi Unguja, maana Tanganyika ni Nchi tofauti na Unguja.
Kodi ndani ya Unguja, ni tofauti na Tanganyika.
Na sasa mikopo inasainiwa na Wizara ya Fedha ya Tanganyika, tunagawana lakini wakati wa kulipa, miaka 20 ijayo, hatujui mlipaji atakuwa nani.
Ukiangalia humu Jamii Forums, manung'uniko ya Muungano yamehama kutoka Unguja, yamehamia Tanganyika. Hili ni jambo jema, ili pande zote za Muungano tuwe na uelewa wa pamoja.
Na jibu lake lake liko wazi.
Tunahitaji kuwa na Makubaliano yanayokubalika pande zote, bila kulazimishana.
Tunahitaji Katiba Mpya.
Katiba Mpya ndiyo Uhai wa Muungano huu.
Ingia hoteli za wazungu utapata chakula au jipikie tu. usitupangie kwenye nchi yetuHeri ya sikukuu ya uungano wapendwa. Ila wazanzibari muache udini, mambo ya kukataza wenzenu kupika mchana mwezi wa ramadhani sio jambo jema mimi njaa inauma
Walikatazwa kupika au kula?Ingia hoteli za wazungu utapata chakula au jipikie tu. usitupangie kwenye nchi yetu
Sasa mkuu kwa hekima zako na werevu wako wa hali ya juu unataka eneo lote la pori lilokuwepo Tanganyika bila kuwepo makaazi ya watu, watanganyika wahamie katika kieneo kidogo kilichopo Zanzibar is it fair?Kwa muda mrefu tangu muungano wa Tanganyika na Zanzibar hawa ndugu zetu kutoka Zanzibar wamekuwa hawaridhishwi na huu muungano, inasemakena hadi Rais wa kwanza wa Zanzibar alishawahi sema muungano ni kama koti likikubana unalivua.
Pia nakumbuka awamu ya 4, Rais akiwa Kikwete kuliibuka wimbi kubwa sana la wanaharakati kutoka Zanzibar wakiongozwa na jumuia ya UAMUSHO wakidai Zanzibar inatakiwa kuwa huru eti kisa viongozi wao wanachaguliwa kutoka Tanganyika.
Lakini jambo la ajabu awamu hii ya sita ni kama hakuna tena hizi harakati za kuvunja muungano wetu mtukufu sasa najiuliza je, shida ilikuwa nini kwa hizi harakati na imekuaje awamu hii zisisikike tena? Au ulikuwa ni unafiki tu wa wanasiasa na sasa hivi wameona huu muungano unawanufaisha na wao!
Kwa mtazamo wangu muungano huu Zanzibar ndiyo wana manufaa kuliko Watanganyika hivyo wanapaswa kuupigania ili uendelee na wao wazidi kunufaika.
Mzanzibar ana haki ya kumiliki ardhi Tanganyika wakati Mtanganyika hana hiyo haki Zanzibar. Je, nani hapo ananufaika? Nawaomba tena Wanzanzibar waache unafiki huu muungano wao ndiyo wanufaika.
MUUNGANO UDUMU MILELE.