Mbona harakati za kuidai Zanzibar huru ni kama zimekufa awamu hii?

Mbona harakati za kuidai Zanzibar huru ni kama zimekufa awamu hii?

Tatizo kubwa la wadanganyika ni UJUHA UJUHA UJUHA! Mmezoea kudanganywa na msakuwa summu bukmun fahum la yarjiuun. Mlianza kudanganywa toka enzi za maji maji na hadi leo hii hamjui kutumia akili kufikiri outside the box. Mume baki kushangiria lolote lile asemalo kiongozi wenu japo kuwa ni uongo au sio sahahi na deep down mnajua kuwa ni uongo au sio sahihi. As long as mkiambiwa ccm oyeee! tanzania oyeee! basi mnakwenda tu mazumbumbu!
Sisi majuha ndio wakoloni wenu,tunawaamulia Rais awe nani? Tena dodoma Tanganyika,Sisi ndio tunawalisha,na hata mifumo yenu ya elimu inatoka Kwa majuha,sisi ndio tunaamua huko U.N,FIFA,AU,EU,ECOWAS,SADC n.kvwanatutambua sisi majuha na sio nyie..

Na hata huyo mwenyekiti wa brza la mapinduzi,hana nguvu yoyote ile kwa majuha,majuha ndio wanakupatia umeme na pesa ya matumizi,kwa kifupi zanzibar ni mchepuko,na Siku zote mchepuko anapata upendeleo zaidi...
 
Sisi majuha ndio wakoloni wenu,tunawaamulia Rais awe nani? Tena dodoma Tanganyika,Sisi ndio tunawalisha,na hata mifumo yenu ya elimu inatoka Kwa majuha,sisi ndio tunaamua huko U.N,FIFA,AU,EU,ECOWAS,SADC n.kvwanatutambua sisi majuha na sio nyie..

Na hata huyo mwenyekiti wa brza la mapinduzi,hana nguvu yoyote ile kwa majuha,majuha ndio wanakupatia umeme na pesa ya matumizi,kwa kifupi zanzibar ni mchepuko,na Siku zote mchepuko anapata upendeleo zaidi...

Kumbe mchepuko tunaupata kutoka kwa majuha 😳
😳😳😳😳😳
 
Heri ya sikukuu ya uungano wapendwa. Ila wazanzibari muache udini, mambo ya kukataza wenzenu kupika mchana mwezi wa ramadhani sio jambo jema mimi njaa inauma
 
Heri ya sikukuu ya uungano wapendwa. Ila wazanzibari muache udini, mambo ya kukataza wenzenu kupika mchana mwezi wa ramadhani sio jambo jema mimi njaa inauma

Kwani huwezi kubakia kwenu Tanganyika ukajilia utakavyo mpaka uje uudhi Waislamu Zanzibar?
 
Umenena vema, lakini hoja ni kwa nini vuguvugu la kudai Zanzibar huru limefifia?

Kwa maandiko yako mazuri, naamini unalo la kusema juu ya hoja hiyo.

Mimi, Mtanganyika, nafikiri Wanzibari wamebadilisha 'strategy'.

Wanadai Uhuru wao kimya kimya.

Kwanza kabisa, Mtanganyika asipewe wala asinunue ardhi Unguja, maana Tanganyika ni Nchi tofauti na Unguja.

Kodi ndani ya Unguja, ni tofauti na Tanganyika.

Na sasa mikopo inasainiwa na Wizara ya Fedha ya Tanganyika, tunagawana lakini wakati wa kulipa, miaka 20 ijayo, hatujui mlipaji atakuwa nani.

Ukiangalia humu Jamii Forums, manung'uniko ya Muungano yamehama kutoka Unguja, yamehamia Tanganyika. Hili ni jambo jema, ili pande zote za Muungano tuwe na uelewa wa pamoja.

Na jibu lake lake liko wazi.

Tunahitaji kuwa na Makubaliano yanayokubalika pande zote, bila kulazimishana.

Tunahitaji Katiba Mpya.

Katiba Mpya ndiyo Uhai wa Muungano huu.
Wizara ya fedha ya Tanganyika ofisi ziko wapi? Vipi kuna hio Wizara na hakuna nchi inayoitwa Tanganyika? 😀

Hakutakiwi kuwe na wizara ambayo eti si ya mambo Muungano wakati wizara hio ipo chini ya JMT!
 
Kwa muda mrefu tangu muungano wa Tanganyika na Zanzibar hawa ndugu zetu kutoka Zanzibar wamekuwa hawaridhishwi na huu muungano, inasemakena hadi Rais wa kwanza wa Zanzibar alishawahi sema muungano ni kama koti likikubana unalivua.

Pia nakumbuka awamu ya 4, Rais akiwa Kikwete kuliibuka wimbi kubwa sana la wanaharakati kutoka Zanzibar wakiongozwa na jumuia ya UAMUSHO wakidai Zanzibar inatakiwa kuwa huru eti kisa viongozi wao wanachaguliwa kutoka Tanganyika.

Lakini jambo la ajabu awamu hii ya sita ni kama hakuna tena hizi harakati za kuvunja muungano wetu mtukufu sasa najiuliza je, shida ilikuwa nini kwa hizi harakati na imekuaje awamu hii zisisikike tena? Au ulikuwa ni unafiki tu wa wanasiasa na sasa hivi wameona huu muungano unawanufaisha na wao!

Kwa mtazamo wangu muungano huu Zanzibar ndiyo wana manufaa kuliko Watanganyika hivyo wanapaswa kuupigania ili uendelee na wao wazidi kunufaika.

Mzanzibar ana haki ya kumiliki ardhi Tanganyika wakati Mtanganyika hana hiyo haki Zanzibar. Je, nani hapo ananufaika? Nawaomba tena Wanzanzibar waache unafiki huu muungano wao ndiyo wanufaika.

MUUNGANO UDUMU MILELE.
Sasa mkuu kwa hekima zako na werevu wako wa hali ya juu unataka eneo lote la pori lilokuwepo Tanganyika bila kuwepo makaazi ya watu, watanganyika wahamie katika kieneo kidogo kilichopo Zanzibar is it fair?

Kwa hilo mkuu hapo umekosea let say umege watu milioni 5 kutoka katika Milioni 59 Watanganyika wahamie Zanzibar kutakuwa na makaazi tena??
 
Back
Top Bottom