Mbona hatujatangaziwa Tume ya Uchunguzi Kuungua kwa Al Moustafa Islamic Foundation Mbezi Beach Makonde?

Mbona hatujatangaziwa Tume ya Uchunguzi Kuungua kwa Al Moustafa Islamic Foundation Mbezi Beach Makonde?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Endeleeni kudhani wenye Akili hatujui kwanini mmeuchuna wakati siyo Kawaida yenu Kuuchuna katika Matukio kama hata tena likihusisha Taasisi ya Kiimani.

Halafu washaurini kama wataendelea kuwa hapo Makonde Wabadilike na kale 'Katabia Kero Kao' kwa Wanafunzi wa Kiume vinginevyo Moto wa Mwenyezi Mungu utarejea kama Adhabu Kwao na huenda wa safari ujao Ukawaunguza na kumrahisishia Kazi Israeli.
 
Dear admins .....popoma amelejea

Njooni mumpe life ban

Anatusumbua huku[emoji23][emoji23]
 
Endeleeni kudhani wenye Akili hatujui kwanini mmeuchuna wakati siyo Kawaida yenu Kuuchuna katika Matukio kama hata tena likihusisha Taasisi ya Kiimani.

Halafu washaurini kama wataendelea kuwa hapo Makonde Wabadilike na kale 'Katabia Kero Kao' kwa Wanafunzi wa Kiume vinginevyo Moto wa Mwenyezi Mungu utarejea kama Adhabu Kwao na huenda wa safari ujao Ukawaunguza na kumrahisishia Kazi Israeli.
Shule za kiislamu nyingi ziliungua hata za Kilimanjaro au yalikuwa majini nn maana ukihusisha na serikali ilikuwa bila bila
 
Back
Top Bottom