Mbona hawa majamaa hawajahama JF?

muhimbili 6, hivi sasa wanapumulia mipira ya mkojo pale muhimbili.
 
Kwani KQ ni shirika la kwanza Duniani kwenda US, utumwa wa wakenya lol.
Mnaona kama mmeenda Mbinguni kwa Baba.
Sasa mbona mlikesha humu mkiiponda KQ na juhudi za wakenya za kuhitimisha safari hiyo ya kuenda jehanam? 😎
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna baadhi ya watu humu waliosema watahama JF KQ ikitua Marekani Karne hii. Kwa majina ndio hao
Geza Ulole
Mwanzi1
Barbarosa
joto la jiwe
Annael
mulisaaa
kadoda11
game over

N.k

Sasa hivi KQ inatua Marekani. Nangoja hawa watu wasivunje ahadi.
EAC passengers welcomed to fly NBO-NYC daily flights. #Now available. Book online.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
 
Leta evidence kwamba nimesema hivyo! The only thing I know by next year this time, u will be minting losses like u have been doing for the past 10 years!
now he is shifting his goal posts
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…