Mbona hayati mzee Kawawa na Dkt Omari wamesahaulika kabisa

Mbona hayati mzee Kawawa na Dkt Omari wamesahaulika kabisa

Mtu Kwao

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2019
Posts
394
Reaction score
720
Salaam
Kumekuwa na kumbukizi za viongozi wakuu wengi waliokwisha kutangulia mbele za haki kama vile Mwl. Nyerere, sokoine, mkapa na magufuli.
Lakini sijawahi ona kumbukizi za hayati mzee Kawawa na Dkt Omari zikipewa kipaumbele na serikali sikumbuki kama ata tarehe za zinakumbukwa..
Dkt Omari alikuwa makamu wa Raisi wa kwanza wa Muungano ambae alifariki 2001. Itakumbukwa kabla ya mwaka 1995 nafasi ya makamu wa Raisi wa Muungano ili tumikiwa na watu wawili Raisi wa Zanzibar na waziri .kuu wa Tanzania lakin kuanzia 1995 nafasi iyo ulianza kutumikiwa na mtu mmoja na wakwanza alikuwa ndie Dkt Omari Ali Juma...
Kuhusu mzee Kawawa ndo kabisa historia yake inajulikana
Lakini kivipi hawa viongozi wamesahaulika kabisa
 
Salaam
Kumekuwa na kumbukizi za viongozi wakuu wengi waliokwisha kutangulia mbele za haki kama vile Mwl. Nyerere, sokoine, mkapa na magufuli.
Lakini sijawahi ona kumbukizi za hayati mzee Kawawa na Dkt Omari zikipewa kipaumbele na serikali sikumbuki kama ata tarehe za zinakumbukwa..
Dkt Omari alikuwa makamu wa Raisi wa kwanza wa Muungano ambae alifariki 2001. Itakumbukwa kabla ya mwaka 1995 nafasi ya makamu wa Raisi wa Muungano ili tumikiwa na watu wawili Raisi wa Zanzibar na waziri .kuu wa Tanzania lakin kuanzia 1995 nafasi iyo ulianza kutumikiwa na mtu mmoja na wakwanza alikuwa ndie Dkt Omari Ali Juma...
Kuhusu mzee Kawawa ndo kabisa historia yake inajulikana
Lakini kivipi hawa viongozi wamesahaulika kabisa

Hayo mambo ya Kumbukizi yanaenda yakipitwa na wakati au yawekewe utaratibu kuondoa utata
unafikiria Nchi kama Marekani yenye maraisi zaidi 40 waliopita pale na mawaziri kwa mamia; wakiendekeza kufanya kumbukizi ya Kila kiongozi wa juu; si watakuwa wanafanya kumbukizi Kila siku
Kwa mtazamo wangu; Kumbukizi ngazi ya Kitaifa ingefanywa kwa Raisi wa kwanza na hao wengine inaweza kufanywa kwa ngazi ya Mkoa au Wilaya au hata Familia
 
Kipindi hiki watakumbukwa kwa vile viongozi na wanasiasa wanatafuta kila aina ya jukwaa ili waweze kusifu.
Inasikitisha. Kwa sasa tunapaswa kuwakumbuka ndugu zetu walio hai ambao wanapigania maisha yao yaliyoharibiwa na mvua na mafuriko ili walau wapate nafuu ya maisha. Hao wengine wamekwisha maliza hadithi yao na hawahitaji msaada zaidi. Halafu hili la kuwaenzi viongozi tu na kuwasahau watu wengine ambao hawakua viongozi lakini mchango wako katika Taifa hili ni mkubwa linatia ukakasi kidogo. Ukishakuwa huna cheo basi wewe ni kama taka tu, hukumbukwi.
 
Enzi za Kawawa viongozi walikua hawana wasiwasi, unamkuta Kawawa kasimama peke yake kwenye jukwaa, Hana kijikaratasi Wala walinzi. Unamkuta kiongozi anamwaga material kutoka kichwani.
Sasa hivi hata makamanda wa mikoa wakisimama na kusoma taarifa jukwaani utawakuta na walinzi nyuma Yao wamesimama wamevaa miwani ya nyeusi hata Kama Kuna giza kuangalia kamanda asije akaanguka na kuleta aibu.
Nyerere alikua na gari mbili kwenye msafara wake akienda kazini.
Makonda alikua na zaidi ya ishirini alipopata ajali.
Waziri mkuu wa uingereza namuonaga na mawili akienda kutoa ripoti kwa mfalme.
I rest my case.
 
Enzi za Kawawa viongozi walikua hawana wasiwasi, unamkuta Kawawa kasimama peke yake kwenye jukwaa, Hana kijikaratasi Wala walinzi. Unamkuta kiongozi anamwaga material kutoka kichwani.
Sasa hivi hata makamanda wa mikoa wakisimama na kusoma taarifa jukwaani utawakuta na walinzi nyuma Yao wamesimama wamevaa miwani ya nyeusi hata Kama Kuna giza kuangalia kamanda asije akaanguka na kuleta aibu.
Nyerere alikua na gari mbili kwenye msafara wake akienda kazini.
Makonda alikua na zaidi ya ishirini alipopata ajali.
Waziri mkuu wa uingereza namuonaga na mawili akienda kutoa ripoti kwa mfalme.
I rest my case.
Nilitaka kusema ndio maendeleo hayo.
Ghafra nikaona hiyo sentensi ya mwisho.
 
Kilichofanyika Arusha ni mbinu na mkakati wa kukubalika 2025. Wanawaandaa mfikiri au muamini wapo pamoja.

WanaAruuuu watapitia changamoto nzito na nyepesi kuvuka 2025. Watumie akili za mababu kutokuruhusu litokee. Wanahitaji umoja imani na uthubutu kuyashinda yajajo…
 
Salaam
Kumekuwa na kumbukizi za viongozi wakuu wengi waliokwisha kutangulia mbele za haki kama vile Mwl. Nyerere, sokoine, mkapa na magufuli.
Lakini sijawahi ona kumbukizi za hayati mzee Kawawa na Dkt Omari zikipewa kipaumbele na serikali sikumbuki kama ata tarehe za zinakumbukwa..
Dkt Omari alikuwa makamu wa Raisi wa kwanza wa Muungano ambae alifariki 2001. Itakumbukwa kabla ya mwaka 1995 nafasi ya makamu wa Raisi wa Muungano ili tumikiwa na watu wawili Raisi wa Zanzibar na waziri .kuu wa Tanzania lakin kuanzia 1995 nafasi iyo ulianza kutumikiwa na mtu mmoja na wakwanza alikuwa ndie Dkt Omari Ali Juma...
Kuhusu mzee Kawawa ndo kabisa historia yake inajulikana
Lakini kivipi hawa viongozi wamesahaulika kabisa
Tatizo nyota
 
Mkapa anakumbukwa wapi? Hata huyo Sokoine ni sababy ya miaka 40 tu. Ila wanaokumbukwa ni Nyerere na Magufuli
 
Hayo mambo ya Kumbukizi yanaenda yakipitwa na wakati au yawekewe utaratibu kuondoa utata
unafikiria Nchi kama Marekani yenye maraisi zaidi 40 waliopita pale na mawaziri kwa mamia; wakiendekeza kufanya kumbukizi ya Kila kiongozi wa juu; si watakuwa wanafanya kumbukizi Kila siku
Kwa mtazamo wangu; Kumbukizi ngazi ya Kitaifa ingefanywa kwa Raisi wa kwanza na hao wengine inaweza kufanywa kwa ngazi ya Mkoa au Wilaya au hata Familia
Wazo zuri pia au itengwe siku 1 yakuwakumbuka wote kama marekani wanavyofanya
 
Back
Top Bottom